Yuko sahihi kwa hilo..kutoka umekuwa msimamo wa upinzani..hakuna haja ya kujadili tena..ni suala dua inaisha unaamsha..watanzania tumechoka bongo movie.
Nadhani centre argument ni DR.HM kuomba mwongozo, whether ni wa kikanuni ama kikatiba..utoaji wa PESA hizo ni subject na sheria iliyotungwa na BUNGE.. Katiba iko too general lkn sheria nyinginezo (kanuni zikiwa inclusive) zinadadavua ama kutoa tafsiri zaidi..ndio maana Sijaona tatizo mwongozo...
Asante serikali ya JPM kushusha Income tax from 11 to 9 percentum kwa waajiriwa..Ni hatua nzuri, japo kwa jicho la kimapato tutajiuliza namna ya kufidia hio deficit.
Naskia kuanzia Julai mosi mwaka huu..mfuko mpya ulioanzishwa kisheria wenye lengo la kusaidia wafanyakazi wa serikali na binafsi...
Sioni Tatizo Dr.HAMWA kuomba mwongozo juu ya suala la posho kwa sababu mosi,kanuni hazichagui ama kubagua mtu wa kuomba mwongozo wa kiti pale kunapokuwa na jambo linalohitaji ufafanuzi wa kiti cha SPIKA.
Pili,alichofanya DR Hamwa ni kuliinvite bunge kupitia kiti cha SPIKA kuona umuhimu wa suala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.