CCM kuanzisha TV na redio zao

CCM kuanzisha TV na redio zao

Kwani Rediio Uhuru ni ya nani? Na kama ni TV si tayari wana TBC?!
 
Hizi picha za kuokota mtandaoni siyo za kuzitumia sana kuonesha ubaya au uzuri wa jambo hadi pale tutakapokuwa na uhakika. Nyingi zake zinakua siyo za Tanzania na nyingine zinakua za kutengenezwa. Nawaomba tuwe makini nazo

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
 
ni kweli nenda kwenye page ya continental decoder kuna maelezo yanayosema kufikia 20/12/2016 uhuru tv itaanza kuonekana kupitia kingamuz chao
 
Haya yamesemmwa jana na mkuu mpya wa chama hicho na ameshangaa kwanini hadi Leo CCM haina hata Television miaka 50 baada ya Uhuru.

Nasubiri kununua king'amuzi spesheli kwa ajili ya CCM.

Samahani kidogo. Kuna uhusiano gani wa habari uliyoileta na hiyo picha ya huyo mtoto? hivi mliwahi kuona wenzetu wakiwaonesha watu wao hivyo, ama unahisi huko huwa hakuna shida? Acha utumwa uanze kuishi kwa kutumia akili yako aliyokupa muumba
 
Back
Top Bottom