HABARI,
Kwa uzi huu nanauhakika MH.RAIS Ataupata ujumbe asaidie vijana wakitanzania kuingizi kipato dunia sasa ni kijiji kwa kutumia TEHAMA haiwezeni vijana wenzetu wananufaika na hili sisi hela zinatupita.
Hapa faidia ni nyingi kwanza ni ajira pia zitaongeza mzunguko wa pesa na pia hata mapato...
HABARI,'
Nimeikuta hii kitu pia mtu akiongelea miaka 4 iliyopita.
https://www.change.org/p/daniel-schulman-tanzanians-need-to-receive-funds-via-paypal
Calistus Kavindi started this petition to PayPal and 2 others
In 2014 I planned to visit Mikumi National Park; an absolutely beautiful...
HABARI,
mike2k:
Hapa Tunachozungumzia ni malipo ya mtu kulipwa kutoka Nje ya Nchi hasa Ulaya na Marekani kwa kazi za mitandaoni Na mfumo huo wa malipo hauusiani na malipo ya kutopa moja kwa moja hapana.Kwanza nikujulishe paypal ni online wallet unafungua acount na kuweka peza zako kule mtandaoni...
YEHODAYA
Hongera Sana umetoa ushauri mzuri wenye uzito wa hali ya juu,Kazi mtandaoni ziko nyingi sana na malipo haya kutumia paypal ni makubwa sana kwa takwimu za kimataifa Paypal kwenye robo tatu ya mwaka huu imefanyika miamala bilioni 3.74 yenye Thamani ya dola za marekani bilioni 246.Na...
HABARI,
Ndugu jaribu kusoma kwa kina tabia za mabepari na ufikiria kama miaka ya 1960 alishakuwa milionaire alikuwa anafanya biashara gani?
Hapo ndio tungejikuta kunakoo chache ni mabilionaire wanaondesha Nchi watakavyo kuanzia kuchagua viongozi wa kuongoza na mambo mengine ni hatari sana...
HABARI.
Mimi nadhani Kungekuwa na Watu wachache tu wasiozidi elfu 5 ndio wangekuwa wanamiliki zaidi ya asilimia 50 ya aridhi yote yenye rutuba Tanzania.Tungekuwa tunasikia Tanzanite ni miliki ya ukoo flani au kikundi cha watu mererani yote ingekuwa ni miliki ya watu wachache au ukoo.Hiyo ni...
HABARI,
Roman na Us hawa wote wanafanya kazi pamoja na kwa kutegemeana,Marekani wakati anajizatiti kutawala Dunia kiuchumi alikuwa anapata taarifa nyingi toka kwa mapadri wa kiroma kutoka ulimwengu mzima na yeye ndio alikuwa anawalinda huko Roman inawategemea US kiulinzi na makampuni mengi ya...
HABARI,
Pole sana kwa hiyo changamoto,
Mdudu huyo anaitwa stream borrel au Kifauongo kwa kiswahil ni jamii ya wadudu funza.
huwa analeta hatari zaidi kwenye stage ya bull kama anavyoonekana Funza, Uzuri wao akianza kushambulia mkorosho ahami kwenda mwingine mpaka haumalize huo. Hutoboa na...
HABARI,
JokaKuu
Nashukuru sana Joka kuu nimekuelewa ni kweli barabara nyingi za vijijini ni mbovu na ndiko vyakula na vinapotoka mimi nadhani Lissu angesema ataweka mkazo kwenye barabara za vijijini Lakini sio kusema zile barabara za juu ubungo asingejenga kwanza pale amejiharibia kwa...
HABARI,
Jamaa
flyover, a bridge carrying one railway line or road over another.
Sasa wewe ukiamua kuita jina lako kama daraja sawa. Pili nimesema flyover kwakuwa yeye ndivyo alivyotamka.
LUMUMBA
Kama Tundu Lissu kathubutu kusema flyover za Dar asingejenga, angejenga barabara za vijjini Singida kweli amechemka.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.