PatriceLumumba
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 426
- 578
Kama Tundu Lissu kathubutu kusema flyover za Dar asingejenga, angejenga barabara za vijjini Singida kweli amechemka.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke Ubungo ndio lango kuu la kuingia na kutoka Dar.
Hivi kweli akili yake kabisa inauongoza ulimi wake kusema kama angekuwa yeye asingejenga zile flyover za Ubungo kwa hiyo akiingia madarakani hata hizo Magufuli alizoahidi nyingine kuzijenga awamu ijayo hatajenga.
NITAWASHANGAA SANA WANA DAR ES SALAAM MKIMPA KURA TUNDU LISSU, MMMEKWISHA HAFAI.
LABDA AFUTE KAULI YAKE NA KUOMBA MSAMAHA WATU WA DAR.
Dar ni mkoa unaochangia mapato ya serikali kwa zaidi ya asilimia 50. Flyover zile zimechangia kwa kiasi kikubwa kupunguza kama si kuondoa kabisa foleni pale Ubungo na ukumbuke Ubungo ndio lango kuu la kuingia na kutoka Dar.
Hivi kweli akili yake kabisa inauongoza ulimi wake kusema kama angekuwa yeye asingejenga zile flyover za Ubungo kwa hiyo akiingia madarakani hata hizo Magufuli alizoahidi nyingine kuzijenga awamu ijayo hatajenga.
NITAWASHANGAA SANA WANA DAR ES SALAAM MKIMPA KURA TUNDU LISSU, MMMEKWISHA HAFAI.
LABDA AFUTE KAULI YAKE NA KUOMBA MSAMAHA WATU WA DAR.