Recent content by patra-sutra

  1. patra-sutra

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo sehemu za mwili wa binadamu zenye kasoro kiuumbaji

    Katika vyote alivyoumba mungu, iwe nyota, anga, ardhi, wanyama na vingine, alitamka neno tu na ikawa kama alivyotamka. ila kwa binadamu alimuumba na kumfinyanga kwa mikono yake.
  2. patra-sutra

    JamiiForums Tanzania Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

    Dah ly walikuwa wanatutesa sana madogo kipindi hicho yaan walikuwa wakubwa kwa saiz ni vitoto tu eti la saba. Kipindi kile hadi maticha walikuwa wagwaya baadhi ya wanafunz
  3. patra-sutra

    JamiiForums Tanzania Kwanini mataifa yote duniani yasizalishe hela nyingi ili kuondokana na umasikini?

    Mugabe na Moi, walifanya hivyo matokeo yake ni kuharibu uchumi ktk nchi zao.
  4. patra-sutra

    JamiiForums Tanzania Mashine bora ya kuosha magari

    Ya umeme iko vizur hasa zile kubwa za psi 2600, kwanza hazina makelele kama za mafuta
  5. patra-sutra

    JamiiForums Tanzania Kipindi unaanzisha biashara hali ilikuwaje?

    Mwanzo huwa mgumu aisee inatakiwa uchezeshe akili kisawa sawa lasivyo unafunga biashara.
  6. patra-sutra

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

  7. patra-sutra

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Back
Top Bottom