Mimi nna hii shida pia nilikuwa na marafiki zaidi ya 10 ila mpaka sasa hamna hata mmoja, kila nikijitahd nashindwa siku mbili tu nachoka kuendeleza mawasiliano, nilishazoea aina hii ya maisha mpk sasa japokuwa siipendi.
Mzee yupo SAWA, hawez kumuita mkwe sababu hujamuoa, pengine anakasirika hakuambii tu akikuangalia anaona bado hujaweza kujimudu unakimbilia familia. Ukweli ni mchungu, ila ukiamua kukaa na mwanamke km mke inatakiwa uwe kwako either kwa kupanga au kujenga, sio unakula mtu kwenye nyumba yake na...
Kuna watu wazembe kwenye hii nchi aisee! Hv n kwamba ulianza mapenzi na ukaoa hapo hapo au? Kwa sababu kesi kama hii hata kwa experience ya mapenzi ya sekondari tu inatatulika mapema sana [emoji2221]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.