Recent content by Pastor Silla

  1. P

    JamiiForums Usiku wa manane

    Huwezi kuwa mtu makini
  2. P

    Mbeya haina hadhi ya Jiji. Mbeya ni Kijiji Kikubwa

    Mlima hauzuii mji kuwa planned
  3. P

    Jina la Yesu lilivyo na nguvu

    Barkiwa Sana yakupasa ukoke Kaka .Natumaini uzinzi umehacha kwa sasa.
  4. P

    Jina la Yesu lilivyo na nguvu

    Pole kwa kutumiwa na mapepo na kukuondoa kwenye mpango wa Mungu. Kumbuka mada yet nguvu iliyopo kwenye jina la Yesu.
  5. P

    Walioruhusu picha hii itumike hawakuwa wajinga

    Wapinga Kristo nambari moja Ni Wakatoliki then wanafata Wasabato na Mashahidi was Yehova n.k
  6. P

    Je, tendo baada ya ndoa inawezekana kwa nyakati za sasa?

    Na atakupa ukikuta kasoro unabaki nae...
  7. P

    Jina la Yesu lilivyo na nguvu

    Amina kila goti litapigwa
  8. P

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    Kwa majibu haya wewe ndie unaoneka haujaenda shule msomi ujibu hoja kwa hoja.
  9. P

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    Ahahaha hacha kusema tu mprove wrong kwa hoja na si kwamaneno mepesi na kujiinua eti unajua tuoneshe unachojua mpendwa.
  10. P

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    Mimi nimemuelewa hacha kuwa mfia dini jaribu kujifunza juu ya hicho unachokiamini hacha kung'ang'ana na dini ya Baba.
  11. P

    Usidanganyike: Hakuna malaika anayekuja kutoa roho yako, dead man knows nothing

    Kwenye kitabu Cha Kutoka tunaona Wana wa Israeli walipata damu kwenye miimo ya milango yao na Malaika Gabrieli aliizipita nyumba zao na kwenda kutoa roho za wazaliwa wa kwanza was Wamisri. Je experience hii unaizungumziaje?
  12. P

    Wachawi na waganga hawawezi Walokole au wacha Mungu wa kweli

    Hakuna hoja unayojadili unaitaji kuombewa wewe.
  13. P

    Watu kumpenda Mungu katika shida tu

    Before Mungu aliumba kila kitu chema na akampa utashi mwanadamu lakini mwanadamu aliposhindwa kumtii Mungu na kukengeuka dhambi ikaingia duniani na dhambi ikapelekea uovu na matatizo kujaa juj ya uso was Dunia.But Mungu ameahidi mbinguni mpya na nchi mpya isiyo na.mawaa ikiwemo magonjwa na shida...
Back
Top Bottom