Kwenye kitabu Cha Kutoka tunaona Wana wa Israeli walipata damu kwenye miimo ya milango yao na Malaika Gabrieli aliizipita nyumba zao na kwenda kutoa roho za wazaliwa wa kwanza was Wamisri.
Je experience hii unaizungumziaje?
Before Mungu aliumba kila kitu chema na akampa utashi mwanadamu lakini mwanadamu aliposhindwa kumtii Mungu na kukengeuka dhambi ikaingia duniani na dhambi ikapelekea uovu na matatizo kujaa juj ya uso was Dunia.But Mungu ameahidi mbinguni mpya na nchi mpya isiyo na.mawaa ikiwemo magonjwa na shida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.