Jina la Yesu lilivyo na nguvu

Jina la Yesu lilivyo na nguvu

Hahaha wakati mwingine unakuta hata siyo yesu ndo kakuokoa ni vile tu watu wengi hawafahamu nguvu ya kukemea kiroho, maneno Yana nguvu na huunda pia, dini za zamani zile Asia zimeingia deep kwenye hili pia.
 
Tangu 2000 nilipoota usiku wa manane kuwa "Ukristu ni mchongo" siamini tena mambo ya Yesu. Sina jibu ila mpaka sasa najiuliza "Mungu wa kweli atamtoa mwanae kafara kweli?" Afanye kama binadamu wanavyofanya? Nimerudi kwenye imani yangu ya jadi.
Pole kwa kutumiwa na mapepo na kukuondoa kwenye mpango wa Mungu.
Kumbuka mada yet nguvu iliyopo kwenye jina la Yesu.
 
Kuna siku nipo guest na mdada tulilala toka jana,asubuhi anataka kuniaga nikamuomba tuagane kwa mechi kwanza.Sijui yule dada alikua kama na mashetani vile,baada ya kumaliza mechi nilijikuta nipo ulimwengu mwingine kabisa yaani nilijiona nimekufa.Kumbe yy alidhani nimelala tu. Akili ikanijia nikiwa huko huko sijui wapi sijui ahera ,nikatamka damu ya Yesu inanena mema kadiri nilivyo tamka nikajikuta nimeinuliwa juu sana baada kama ya nusu saa nikaamka .Yule dada alishangaa sana nilipo msimulia mpaka leo sijawahi mtafuta nikahisi atakua na jini la mauti.Kweli jina la Yesu na damu yake vina nguvu sana,ila wengi hawajui.
Barkiwa Sana yakupasa ukoke Kaka .Natumaini uzinzi umehacha kwa sasa.
 
Kwa imani kabisa nasema tena ile imani kabisa.. unaposema kwa jina la Yesu.. Mbingu inasubiri neno la kuomba au kuamrisha, nako kuzimu kunasubiri order nini kifanywe.. ukimaliza kunielewa endelea
 
Naona kama tu mchongo wa Wayahudi ambao wamefanikiwa kuuteka ulimwengu. Nyakati za mwisho Mungu wa kweli atakana kuwa hana mtoto wa jinsi hiyo. Watu wangu wanaangamia kwa kuamini vitu vya uwongo.
Usijali endelea kutafuta Mungu,Wala usitumie lugha Ngumu kama unamwamini mwombe ajidhirishe kwako utamjua Mungu wa kweli ni nani.Mm baba yangu alikataa kwenda ibadani wakati akiwa kama darasa la saba au la sita kwa jinsi nilivyosimuliwa. Sasa mama yake akawa amerudi ibadani akamkuta akicheze mkokoteni mamake akalia kwa Nini mwananhu huendi Ibadan? Akajibu hakuna Mungu na kama yupo hebu aniangushe alikuwa amesimama wakati anajibu hivyo,ghafla akanguka alipojaribiu kuinuka akanguka Tena aliendelea hivyo mamake akiwa ameduwaa mpaka aliposema Mungu nimejuwa upo nisameje ndipo akaweza kusimama.Tangu wakati huo hajawahi kuacha kimwamini Mungu.
 
Betty Marandu, Mungu wa kweli anapatikana kwa kuzingatia mababu zako, sio mababu wa kizungu. Hebu kwa upande wa baba wajue kama wanne vilevile upande wa mama. Kila unapoamka wataje kwa majina kimoyomoyo ili wakuunganishe na Mungu wa kweli. Kumbuka wao ni roho na Mungu ni roho, watawasiliana vizuri na watakuunganisha nae. Ukristu ni biashara, Mwafrika angezinduka nae angewapelekea Yesu wa Afrika huko Ulaya.
 
Kuna siku nipo guest na mdada tulilala toka jana,asubuhi anataka kuniaga nikamuomba tuagane kwa mechi kwanza.Sijui yule dada alikua kama na mashetani vile,baada ya kumaliza mechi nilijikuta nipo ulimwengu mwingine kabisa yaani nilijiona nimekufa.Kumbe yy alidhani nimelala tu. Akili ikanijia nikiwa huko huko sijui wapi sijui ahera ,nikatamka damu ya Yesu inanena mema kadiri nilivyo tamka nikajikuta nimeinuliwa juu sana baada kama ya nusu saa nikaamka .Yule dada alishangaa sana nilipo msimulia mpaka leo sijawahi mtafuta nikahisi atakua na jini la mauti.Kweli jina la Yesu na damu yake vina nguvu sana,ila wengi hawajui.
Ukute ulirudi kuzini kesho yake. Mshahara wa dhambi ni mauti
 
Sio mpango wa Mungu ni mpango wa Wayahudi ambao wana akili kuliko binadamu wote duniani. Mambo yote ya teknologia duniani ni wao. Ndio maana waliofanikiwa kuundanganya ulimwengu.
 
Naona kama tu mchongo wa Wayahudi ambao wamefanikiwa kuuteka ulimwengu. Nyakati za mwisho Mungu wa kweli atakana kuwa hana mtoto wa jinsi hiyo. Watu wangu wanaangamia kwa kuamini vitu vya uwong
Niliandika neno kali sana nimefuta
 
Betty Marandu, Mungu wa kweli anapatikana kwa kuzingatia mababu zako, sio mababu wa kizungu. Hebu kwa upande wa baba wajue kama wanne vilevile upande wa mama. Kila unapoamka wataje kwa majina kimoyomoyo ili wakuunganishe na Mungu wa kweli. Kumbuka wao ni roho na Mungu ni roho, watawasiliana vizuri na watakuunganisha nae. Ukristu ni biashara, Mwafrika angezinduka nae angewapelekea Yesu wa Afrika huko Ulaya.
Aliekuumba akakupa ubongo anajuta
 
Nguvu iliyopo ni ile ya Magic spell za kiumbe unachokiomba, unatakiwa ujuwe kuwa kiroho kila kitu kina maana, ndiomaana tunawafundisha msiwe na tabia za kujiita majina ya hovyo ama majina ya utan yenye maana za hovyo.

Kiroho kila kitu kina maana yake na uwezo fulan, ila hatutambui haya, hata wew kupitia utambulisho wa jina lako una nguvu fulan ya kutenda muujiza fulan ambao kwa mtu asiye na jina lako hawezi wala wew huwezi kutenda muujiza wa huyo mwenye jina tofaut na lako.

Huyo mnaemuita Yesu hilo jina liliundwa na warumi huko Nicaea conference ili kuuwa asili ya Mkombozi wa kweli ambaye hakuitwa yesu, tafuta dunia nzima hutoona ushahidi wa uwepo wa Yesu, bali utaona uwepo wa Mtu fulan ambaye alikuwa na Tabia ambazo Yesu wenu amepachikwa hizo tabia, baada ya huo mkutano wa warumi.

Warumi tabia zao ilikuwa kuabudu mashetan kuptia ibada zao za kipagan ktk kanisa la mchongo la katoric, miaka ya 325 A.D waliunda muhusika mpya wa kidini ambaye angesemekana kuwa kama Mungu mwana wa kubeba dhambi za wanadamu na kumpa uhusika feki kuwa aliwai kuishi huko middle east ktk israel ya mchongo, na wakabadiri majina ya kristo wa kweli ambaye hakuitwa yesu hapo kabla, lkn wao wakaunda jina jipya la Pepo aina ya Mbuzi dume awe mfano wa Kristo na mwana wa Mungu, na jina la huyo kiumbe linatambulika kama Jesus, Yesu, Yeshua, IEUS, Zeus, Azazel.

Kama yalivyo matambiko na ibada za ushirikina ili umuite Jini fulan ama pepo fulani nilazima ulihusishe jina halisi kwa ufasaha ktk ibada yako, na ndivyo ilivyo hata kwa waombaji wa huyo yesu unapomtaka ktk maombi jua unamuita Jini aina ya mbuzi dume ambapo ukikidhi vigezo ktk maombi yako linaweza kukutendea muujiza wowote(manabii wenu wanajua hili).

Jini hilo hilo mnaloita Yesu ndilo hilo hilo linatumika ktk ibada za washirikina na matambiko ya umwagaji damu, hao illuminati wanalijua hili maana ndio nguzo yao, wakatoric pia wanajua zaid hili, nazungumzia wale wakatoric vyeo vya juu sio ninyi waumini wafuata mkumbo, .

Ktk maombi ya kiroho una uwamuzi wowote wa kutumia nguvu kutoka ktk kiumbe chochote kupambana na adui, haijalishi huyo adui wako yuko upande wa giza hata icho kiumbe ukiombacho kinaweza kukusaidia kupambana na mshirika mwenzake ilihali kikuaminishe kuwa chenyewe ni kiumbe chema na ukitumikie ama kukiabudu.

Narudia, huyo mnaeita Yesu ktk dini zenu hajawai kuwepo alitungwa na wazungu kwa kuiba historia ya manabii ambao hawakuwa wakazi wa asia wala ulaya bali Africa, kutokana na ubaguzi wa rangi waliamua kubadili historia ionekane Mkombozi wa kweli hakuwa mtu mweusi bali myahudi wa uko middle east, na wakabadiri majina ndipo wakawaletea hiyo nadharia yao ya ushetani.

Jiulizen kama Huyo Mungu mnaemuomba makanisan na misikitin ni wa kweli kwann tangu muanze kumuomba mabaya hayaishi wala majanga hayatatuliki? Je shetan ana nguvu kulko Mungu mnaemuomba? Jibu n kuwa yule aliyeahidi kuchukua mamlaka ya kuabudiwa na wanadamu kilazima ndie huyo huyo mnaemuita Mungu ktk dini zenu na anawapotosha.

Niishie hapo nisije kuwachanganya.
 
Tangu 2000 nilipoota usiku wa manane kuwa "Ukristu ni mchongo" siamini tena mambo ya Yesu. Sina jibu ila mpaka sasa najiuliza "Mungu wa kweli atamtoa mwanae kafara kweli?" Afanye kama binadamu wanavyofanya? Nimerudi kwenye imani yangu ya jadi.
Ukristo&uislam ni dini za ushirikina sema ushirikina uliopewa majina mazuri, tofaut na ule wanaoutumia kulogea majiran zetu mitaan.

Ktk dini zote matambiko yanahusika kwa kujua ama kutokujua.

Kifo cha yesu ni tambiko, Mungu wa biblia alipenda matambiko ndiomaana mpka sasa anawahimiza watu waombe damu ya yesu kwakua ni moja ya tambiko la kibinadamu, na kwakuwa Yesu kwa mujibu wa biblia alishakufa na kufufuka hivyo damu yake itatoka wapi watu wakimuomba leo hii? Jibu utapata kuwa kuna umwagaji damu leo hii unaendelea ktk ibada za kuiomba iyo miungu ya mchongo
 
Huyo Shetani mkemee jomba , Yesu ndo binadamu maarufu zaidi kuwahi kuishi Duniani , na ndo taarifa zake zinatafutwa zaidi kuliko yyte Yule , huwez ukawa na hii sifa Kwa kubahatisha au Kwa kufikrika never...
Acha ujinga huyo yesu ni maarufu huku ktk nchi za wajinga Africa ambako hamtaki kujifunza zaid ya kuamini ujinga,

Nenda nchi nyingi za Asia na ulaya hawamtambui huyo Yesu wenu, wala hawana time na stor zake, haya mambo mlidanganywa waafrika ili muwe tegemezi kwa ngozi nyeupe, ona sasa mlishndwa hata kuwakimbiza wakolon kwa kuamini mafunzo ya kidini waliyowatishia na mpaka sasa baadhi yao mnawaita Taifa teule kisa hizo stor zao walizowadanganya.

Jaman jifunzen kutembelea nchi mbalimbali, dunia kubwa hii
 
Kuna siku nipo guest na mdada tulilala toka jana,asubuhi anataka kuniaga nikamuomba tuagane kwa mechi kwanza.Sijui yule dada alikua kama na mashetani vile,baada ya kumaliza mechi nilijikuta nipo ulimwengu mwingine kabisa yaani nilijiona nimekufa.Kumbe yy alidhani nimelala tu. Akili ikanijia nikiwa huko huko sijui wapi sijui ahera ,nikatamka damu ya Yesu inanena mema kadiri nilivyo tamka nikajikuta nimeinuliwa juu sana baada kama ya nusu saa nikaamka .Yule dada alishangaa sana nilipo msimulia mpaka leo sijawahi mtafuta nikahisi atakua na jini la mauti.Kweli jina la Yesu na damu yake vina nguvu sana,ila wengi hawajui.
Ulitumia nguvu zako mwenyewe na sio huyo Yesu, kiroho kila mtu ana Nguvu nguvu ambazo weng hamzitambui sabbu ya kukosa elimu ya kujitambua kiroho.

Unapoota ama kupata maono yoyote yale jua wewe ndie main character wa hiyo ndoto na unaweza kutenda jambo lolote ktk hiyo ndoto na likatimia,(refer Rucid dreams), pia unauwezo wa kupambana na kitu chchote kile na hakina uwezo wa kukuua maana wew ndie main character wa ndoto ila ukizembea kikakudhuru matokeo utayapata kimwili na sio rohon, mfano magonjwa, mikosi& mabalaa, ajali.

Jamani mambo ni mengi ukijitambua hutoteswa tena na hayo mambo madogo madogo ya kishirikina
 
Back
Top Bottom