Interview sio kujibu maswali tuu, maswali yana asimia 50 ya interview! Kuna mambo lukuki wanaangalia,kwa mfano unaweza ukaenda ukajbu vizur maswali lakin umevaa kama mpga,debe, huwezi kupewa ofsi, ama unalnesha ishal za rushwa juc za way unavoongea wanawez kujua hili litakuwa fisad nguli! A lot...
Ili taifa lolote liweze kuwa na maendeleo dhabiti elimu bora kwa raia wake ni nyenzo mhimu! Ningekuwa ni Raisi wa Tanzania, kipau mbele(1st priority) changu kingekuwa elimu kwanza, ndpo mengne yafuate..Ndugu vijana wenzangu naomba hili swala tusilifumbie macho...taifa letu...
Hallo guys how tins?
I applied for totorial assistant post udsm, kuna mdau yoyote ana taarifa zozote kuhusu kufanyka kwa interview? We work as a team, youth social network, we achieve
Mganga ni uwezo wako tu na wala tusidanganyaneq, tuache ndoto za Abunuasi zisizo na mashiko..komaaa kama upo shalo kamua ucku kucha, hizo habari za mganga unaweza fika kwenye interview unapoingia tu intervieweee wote wanatoka kwa speed kumbe hujijua umeguzwa simba.. mdauuuuuuuuuuuuuuuuuu kuwa makin
Nina shahada ya ualimu wa science (Bsc. Education, studied at SUA), natafta shule ya private urgently. nina experience mwaka mmoja , natafta shule ambayo ipo dar es salaam... if any contact me through, 0659989640/0768356834/... e-mail astewardkalinga@yahoo.com
Tusiwe na mawazo yaliyoganda ambayo yanafikiria ajra kila cku, kwa stahili hii Tanzania tutaendelea kuwa ombaomba! Elimu uliyonayo tumia ikukombo, "Thinkin to be employed is a stuck mind"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.