Interview sio kujibu maswali tuu, maswali yana asimia 50 ya interview! Kuna mambo lukuki wanaangalia,kwa mfano unaweza ukaenda ukajbu vizur maswali lakin umevaa kama mpga,debe, huwezi kupewa ofsi, ama unalnesha ishal za rushwa juc za way unavoongea wanawez kujua hili litakuwa fisad nguli! A lot...