Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 6,425
- 8,369
Nina dada yangu, ambaye anatafuta ajira ya kuuza duka la dawa. Elimu yake kidato cha nne; pia ana cheti cha uuguzi msaidizi na cheti cha kumruhusu kuuza duka la dawa (pharmacy). Tafadhali kwa yeyote anayehitaji kumwajiri mtu mwenye sifa hizo au anayemfahamu anayetoa ajira hiyo anijuze.