Recent content by Pastor Achachanda

  1. Pastor Achachanda

    Bar ya Catalunya yafungwa na TRA muda huu

    Kwani haipo siku hizi hii jomba?
  2. Pastor Achachanda

    Naomba mnisaidie kujua KIPIMO cha maumivu kinaitwaje kitaalamu?

    Habari zenu jamani. Naomba mnisaidie kujua KIPIMO cha maumivu kinaitwaje kitaalamu? Maana inasemekana kuna tofauti ya maumivu mtu akipigwa kwa hasira na akipigwa kawaida. Asanteni.
  3. Pastor Achachanda

    Serikali yaagiza hospitali zote nchini kuwa na ICU za watoto wachanga

    Watachangisha kwa wananchi au? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Pastor Achachanda

    Watanzania tumuombee Agostino Lyatoga Mrema

    Anaendeleaje? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Pastor Achachanda

    Rais Magufuli akutana na kufanya Mazungumzo na boss wa Barrick Afrika Mashariki na Kati, Willem Jacobs

    Hao mabeberu wasituchezee Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Pastor Achachanda

    Tahadhari: Lifts(Elevators) zinaweza kuua!

    Hongera kwa kumkumbatia Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Pastor Achachanda

    Msako wa wamiliki wa visima wasiovilipia ada ya matumizi waja

    Nahisi utakuja wakati huko Marekani wenye makalio makubwa watatakiwa kulipia
  8. Pastor Achachanda

    Songea: Daktari agoma kumtibu mgonjwa hadi umeme uwake kwanza

    Gridi ya taifa wengi wanasema unasumbua sana naona hizi ni dalili tu na salamu kutujulisha yajayo
  9. Pastor Achachanda

    Songea: Daktari agoma kumtibu mgonjwa hadi umeme uwake kwanza

    Na hili la kukatika umeme Songea ni tatizo na lipo wazi. Na hivi wanatuingiza gridi ya taifa wakati wengi wanasema umeme wa gridi ya taifa unasumbua sana kukatikakatika. Bora watuachie tu umeme wa jenereta
Back
Top Bottom