Habari zenu jamani. Naomba mnisaidie kujua KIPIMO cha maumivu kinaitwaje kitaalamu? Maana inasemekana kuna tofauti ya maumivu mtu akipigwa kwa hasira na akipigwa kawaida.
Asanteni.
Na hili la kukatika umeme Songea ni tatizo na lipo wazi. Na hivi wanatuingiza gridi ya taifa wakati wengi wanasema umeme wa gridi ya taifa unasumbua sana kukatikakatika. Bora watuachie tu umeme wa jenereta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.