Nakupa tu uzoefu, Scania inachemka kupanda Zambezi wakati HOWO inapanda kama mchezo. Sijui wewe unatakaje . Scania ina maisha marefu zaidi na bei almost mara 2 ya HOWO
Lowasa alipora hadi ardhi ya KKKT Tangibovu, itakuwa hiyo ya shamba la bibi? Eti Waluther walimwamini awasaidie kupata hati pale Tangibovu akiwa Waziri wa Ardhi, yeye kajimilikisha kwanza nusu ya eneo hilo kisha lililobaki kawapa hati. Kifupi Kigwangwala yuko right 110%.
Thread yako ina maana, inapasa tuweze kufanya hesabu ya Return on Investment (ROI). Nijuavyo mimi, Isaka -Kigali spur is shared 50/50. Wakati wa ukoloni reli zilijengwa kusafirisha bidhaa kupeleka sokoni, purely extractive purposes. Dunia sasa imehama, reli zilijengwa alongside with Fibre...
Toka lini ITV na vyombo vyake wakawa wanaisupport Serikali? Hawana tofauti na Citizen/Mawnanchi ya Wakenya. Success stories za URTkwao ni vocabulary. Taarifa zao sehemu kubwa zinaongelea shida, matatizo, nk. Yeyote ainuke sasa ani prove wrong!
Kakobe ni meepesi kama pamba, si lolote si chochote. 1995 alisema ameoteshwa Rais atakuwa Mrema, mpuuuzi tu fulani DJ wa Temeke. Juzijuzi kamwambia Ngeleja nguzo za umeme zisipite kwake, (Ubungo-Victoria HT) zilipita. Mpuuuzi mpuuzeni tu
Bethlehem, iko Yuda. Nchi takatifu BC. Sio Palestine. Ni maili 10 kutoka Jerusalem, pia maili 20 kutoka Salt Lake. Wafilisti waliishi maili 40 kutoka Yuda alikozaliwa Yesu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.