Recent content by pasi padinde

  1. pasi padinde

    Kufungisha ndoa takatifu huku Bibi Harusi akiwa mjamzito ni kuhalalisha uzinzi

    Kisheria ndoa inatangazwa siku 21 huwezi ukatangazwa miezi mitatu. Pili kuna semina za wanandoa na mwenye leseni ya ndoa ndio anaewapa semina wana ndoa na ndie anaefungisha ndoa je siku zote hakuona huo ujauzito?. Yapo makanisa yapo so strict kwanye hilo utaambiwa nenda bomani ukafungiwe ndoa
  2. pasi padinde

    Mchepuko oyeee!

    Na mmeo nae yupo na mchepuko mwisho mnachepukana
  3. pasi padinde

    Je, waandishi wa Biblia hawakuona aibu kufanya ‘Plagiarism’ ya wazi wazi kwenye ‘Vibao vya Sumeria’ na kufanya editing bila aibu kabisa?

    Dini ipi ambayo haijagawanyika na haina chuki taja moja tu nami nitakuonyesha madhaifu with evidence. Ila usitaje uislam maana huo ndio uozo wa chuki miongoni mwao na hatari kuliko dini nyingjne maana wana madhehebu mengi na wana chuki wazi wazi kwa kuchapa hata dibaji kwenye kitabu chao...
  4. pasi padinde

    Jengo la abiria wasafirio kwenda Zanzibar halileti taswira nzuri

    Ni wajibu wetu kuwakumbusha Tunatia aibu sio bara au zanzibar
  5. pasi padinde

    Ubunifu wa ujenzi Jangwani kama centre kubwa ya biashara East-Central Africa inahitajika

    Big point. Kwanza unaweza fanya temporarily drawing Vijana wapo wengi waliosoma pale mlimani . Waende kwa mkuu wa wilaya waseme sisi tunataka tudesign jangwani then Wazungukie pale jangwani kwa ukaguzi alafu waanze michoro hata kama sio yenye vipimo kamili lakini just beginning kwamba hapa...
  6. pasi padinde

    Kwanini tusiitumie gesi kama mbadala wa mafuta na magari mengi yatumie Gesi badala ya mafuta?

    Kama sio nyingi iliyopo inaweza kutusaidia kwa kiwango gani?
  7. pasi padinde

    Kwanini tusiitumie gesi kama mbadala wa mafuta na magari mengi yatumie Gesi badala ya mafuta?

    Wandugu habari za wakati huu. Kwa mwezi huu wa tano na kuendelea tunaona mambo yamebadilika kwasababu ya kupanda kwa mafuta huko katika Dunia ya kwanza . Hali hii imeathiri sana maisha yetu walala hoi hasa wenye kipato cha chini. Wandugu naomba kuuliza Tanzania tumejaaliwa rasilimali za asili...
  8. pasi padinde

    Ubunifu wa ujenzi Jangwani kama centre kubwa ya biashara East-Central Africa inahitajika

    Kama tumeweza kujenga standard Gauge why not this one. 1. Hatuna maono ya nchi Inamaanisha nini siasa zimeharibu taaluma na wenye taaluma nao wamekimbilia siasa na kuharibu taaluma vilevile. Its very possible kutafuta muwekezaji kama mchina akatengeneza viingilio akapewa yeye sisi tukakusanya...
  9. pasi padinde

    Ubunifu wa ujenzi Jangwani kama centre kubwa ya biashara East-Central Africa inahitajika

    Gesi mtwara inatuingizia kiasi gani, makaa ya mawe mchuchuma yanatuinyizia kiasi gani, dhahabu kakola, buzwagi, buhemba , nyamongo inatuingizia kiasi gani, tanzanite’s inatuingizia kiasi gani, samaki ziwa victoria ziwa Tanganyika na bahari kuu inatuingizia kiasi gani. Viwanda vingi vimekufa kama...
  10. pasi padinde

    Ubunifu wa ujenzi Jangwani kama centre kubwa ya biashara East-Central Africa inahitajika

    Mungu atusaidie kwakweli inatia kinyaa sana . Huwa najiuliza vijana walipo kwenye system are real royal to their nation? Yaani tunapaswa kuona vijana wanaoingia kwenye system sio wanachama lakini wazalendo kwa nchi sio kwa chama. Kuwe na maono ya nchi kwamba miaka mitano tunataka kutoka hapa...
  11. pasi padinde

    Jengo la abiria wasafirio kwenda Zanzibar halileti taswira nzuri

    Nakuahidi baada ya saa moja utaona picha
  12. pasi padinde

    Jengo la abiria wasafirio kwenda Zanzibar halileti taswira nzuri

    Tatizo la mmiliki mmoja aki dominate one day ataiuza nchi . Kinachopaswa ni serikali kama haina fedha ni kuingia mkataba tu kwamba jenga endesha kwa miaka kadhaa kama ilivyo eneo la mliman city eneo la chuo kikuu amejenga mwingine anasimamia kwa miaka kadhaa then baada ya hapo itakuja kuwa mali...
Back
Top Bottom