Eti atakayeweza tamaka"Iowa"unampa buku
Sasa Si ungesema matako maana inaonekana kichwa chako kimekaa kutukana and by the way iowa hutamkwa "aiyowa"ILA samahani lakini lengo Ni kutaka mji waliopelekwa watoto wetu inshallah mungu atawaponya..
Eti yak
Eti yakamtoka macho!!macho yapi hayo ya mjusi guluguja aliyebanwa na mlango au Fundi saa anayetafuta adjust ya funguo iliyopotea ndani ya saa..
Fafanua mkuu!!!...
Ni kweli kashamaliza wafanyikazi hewa akaja na wafoji vyeti na nasikia sasa hivi ataqashughulikia waliogushi umri na ninaamini akimaliza na hawa atakuja na wanaotumia majina ya ukoo ambao siyo Yao kwa maana mama alibambikiza mimba kwa mtu ambaye SI yake na mtoto alipozaliwa akatumia ubini huo...
Ifike pahala hata hawa viongozi wetu WA dini waache unafiki na hofu ya kidunia kama Ni kweli wapo hapa kwa niaba ya mungu.Sawa tumeamrishwa tukaitii mamlaka ya sheria na serikali lakini SI kwa utawala uliopo sasa..jamii zimekuwa zikidhalilishwa na wengine wakiteswa na kutoweka..hili suala la...
Kwenye utekwaji WA Roma yule mvua magamba mwakyembe alijitokeza na kujifaragua kuongea na hata Juma Nkamia alipohoji alijibu kwa nyodo ya kuwa lipo ndani ya wizara yake..sasa hii la kuvamia kwa mkutano na kuharibiwa vifaa vya habari waandishi mbona yupo kimya..?
Mwigulu nae mauaji ya mkuranga...
Baraka zinatoka kwake TISS hawawezi fanya chochote bila baraka WA mzee broken fent ford au sizonje au komwe Kama Leo kikao cha Mtulia kilichopigwa marufuku..mungu niweke niione nchi ya ahadi inshallah...
Tatizo la mtu bwabwa hata likitekenywa yeye linavua nguo linajiona mzuri na vidole vyake vya kishada mithili ya bashite na tako mdandio eti shwari kwa kina mama kulala chini au unyimwaji WA Uhuru wa kujieleza uteswaji na utekwaji au wewe hUna machungu sababu ya huyo anayekupumulia kwa hakika...
Tatizo liliopo rais wetu mtukufu fent ford SI Tu anachukia upinzani bali PIA anawafanya wananchi wake tumchukie haiwezekani mkutano ulioruhusiwa kisheria ufamiwe na wahuni hii imeanza lini na tawala zote za awamu ya kwanza mpaka ya nne haikuwa na hivi vitu so kwa nn yeye.
Ifike mahala tumwambie...
A
Amini nawaambieni kwa asiyetaka kuamini na asiamini kile kikoromo cha Simba alichomeza Haji alichopewa na mganga pazi Malinzi na TFF yake lazima waufyate
Kwa mwendo ule WA kidondora hata Mimi sikuachi wacha nifukuzwe hata kazi yaani nitavyokulamba hata mwana mbuzi aliyetoka kuzaliwa anasubiri hasa pachuchi na ule wekundu WA nyanya na najaribu kufumba macho kuvuta hisia na ile radha ya ugwadu mithili ya mtindi duh sibanduki kama ruba kweli bashite...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.