pashamwendo
Member
- Mar 11, 2017
- 88
- 40
Baraka zinatoka kwake TISS hawawezi fanya chochote bila baraka WA mzee broken fent ford au sizonje au komwe Kama Leo kikao cha Mtulia kilichopigwa marufuku..mungu niweke niione nchi ya ahadi inshallah...Are you sayong rais wako mtukufu ndiyo alivaa kinonja kuvuruga mkutano? Mbona unaruka mbali kiasi hivyo? Wache polisi wapeleleze utakuta ni vijaba wa kijiweni wamepewa mbau mbau kwenda kufanya fujo, wamelipwa na blue guards wa Bara waliotemwa huko Zenj