Nadhani uliahidiwa 10% ndio maana unaipigia debe , sie watanzania hatutaki bandari inayowafaidisha wachina watanzania tunalala njaa, kama unawataka hao wachina wape eneo nyumbani kwako wafanye hivyo, lakini sio huko Bagamoyo.
jaji mfawidhi,
Iko siku mkijua afanyayo Mbowe mtamuweka kwenye Crusher asagwe mpaka abakie unga, mnajificha nyuma ya keyboard mkichnganya watu kwa uongo
Watu wa Mbeya kwa majungu na fitina nani asiye wajua mpaka Mkoa wa Mbeya kwa sababu ya Umbeya wenu acheni ubinafsi mtu akija mgeni mnapenda kumfitinisha .Punguzeni ukabila nyie
Hivi nyie mpo Tanzania au mpo ughaibuni maana mnayoandika hayaakisi akili za mtu timamu , vitu kwa macho mnaona halafu mnajifanya hamuoni hivi hamuoni hata Mungu atawaadhibu kwa kupinga ukweli.Wapingaji naona sasa akili zimewaruka na mnachanganyikiwa baada ya kuona mafanikio ya JPM. Na bado...
Nadhani uliongea na kichaa na wala si binadamu wa kawaida , unajua kodi ya kichwa watu walikimbia porini na mengineyo mengi au uliyekuwa unamuuliza ni katoto ka juzi
Ni kwa nini hawa watu hawapendi kufuata utawala wa sheria? ajabu kabisa halafu unakuja kulalama kuwa kuna uonevu , ni nchi gani duniani isiyofuata utawala wa sheria .Ndio maana hata demokrasia hawana hata katika vyama vyao.
Hawa jamaa ni wa ajabu kabisa maana unataka Demokrasia halafu hutaki utawala wa sheria ndio maana yake nini , wanataka huruma kutoka kwa wananchi hilo wasahau hawa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.