Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,409
Waziri Mkuu wa Malta Joseph Muscat, nchi ambayo haijawahi kuwa na maandamano wala mkwamo wa kisiasa na ambaye amekuwa akipendwa pomoni ametupiwa mayai viza, yeye na wapambe wake na waandamanaji baada ya kugundulika kwamba alihusika kumuua mwandishi wa habari za kichunguzi mwanamama Daphne Caruana Galizia ambaye alikuwa akichunguza .
The same case ingekuwa hapa Tanzania, watu wanaua waandishi, wagombea na kadhalika halafu mmelala tu, sijui mtajibu nini kwa Mungu?
Kwa unafiki mkubwa mnakanyaga madhabahu ya Bwana na kwa kiburi eti uchaguzi ni huru na wa haki huku mkimtumia yule bwana wa ndoa za mitala "Jafo" kuhalalisha uchafuzi huu.
Mungu hadhihakiwi bwana Jafo, atatokea mwanamke mmoja atakubebesha mdudu, okay siemi mengi, namwachia Mungu na unafiki wako mapenzi yake yatimie kwako.
The same case ingekuwa hapa Tanzania, watu wanaua waandishi, wagombea na kadhalika halafu mmelala tu, sijui mtajibu nini kwa Mungu?
Kwa unafiki mkubwa mnakanyaga madhabahu ya Bwana na kwa kiburi eti uchaguzi ni huru na wa haki huku mkimtumia yule bwana wa ndoa za mitala "Jafo" kuhalalisha uchafuzi huu.
Mungu hadhihakiwi bwana Jafo, atatokea mwanamke mmoja atakubebesha mdudu, okay siemi mengi, namwachia Mungu na unafiki wako mapenzi yake yatimie kwako.