Yes unayo haki ya kumshitaki kama amekufukuza pasipo kuwa na sababu ya msingi na bila kukupa room ya kusikilizwa kabla ya uamuzi. Kwa mwajiriwa ambaye umefanya kaz kwa miez mitatu tu unaweza kushtaki kwa kitu tunaita kitaalam unfair labour practice.
Peleka malalamiko yako kwa afisa was ajira (labor officer) was wilaya uliyopo wao wana mamlaka ya kusikiliza malalamiko ya waajiriwa. Ukihitaji msaada zaidi nichek
Habari wadau,
Kwa yeyote ambae analima ufuta au anafahamu mkulima mkubwa wa ufuta naomba tuwasiliane. Nanua kuanzia tani 1-10 kwa mkupuo. Uwe ni ufuta wa mbegu nyeupe. Aksante. Contact 0686475955
Wasalaam wakuu,
Naomba kwa wenye uzoefu na kampuni za kukodi tractor, excavators pamoja na vifaa vya kupalilia (weeding machines) anisaidie. Mimi nipo dar es salaam ila shamba liko mkuranga. Aksanteni
Habari wadau,
Natafuta dereva wa uber. Awe tayari kuendesha gari kwa mkataba baada ya mda tutakaokubaliana gari inakuwa yake. Aksante
Mawasiliano 0717425183. Only for serious drivers
Mkuu ingia kupatana.com search IST au spacio zitakuja nyingi tu uchague. Pia kwa uzoefu wng nakushaur usiangalie no. Kama ni namba D au C angalia engine ya gar na mambo mengine kama mileage na past user's experience eg women drive nk
Laptop unaweza kutumika kama iPad pia. Laptop ni core i 5, Ram 4GB HDD 120, inatunza chaji zaidi ya masaa kumi. If interested call 0717425183. Bei ni shiling 600,000 Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.