Siye wa Dar tunataka kurahisisha maisha wee unawaza majembeHiyo hela tuipeleke shambani mkuu, nina strategy na plans zote na baadhi ya vitendea kazi.
Pesa tu ndio changamoto, tena m7 tutalima shamba kubwa sana. Nipo serious. By next year this time tunaweza kuwa mimi na wewe tunamiliki gari kali zaidi ya hilo. Kila mtu lake na shamba bado mtaji upo
Namba yako haipatikani mzee.Mkuu kama unahitaji nicheki kupitia 0757676742 gari xaf kabisa kwa mil 6.5
Kivipiyan sas hiv ukitaka kuuza gar yako unawez uza uku unalia
jiongezeKivipi
Kwa hiyo hela heri ununue gazeti ujipepee.Habari wadau,
Naitaji gari ya kununua kwa mtu.
Iwe Spacio new model au IST.
Namba D ndio itapewa kipaumbele.
Siitaji dalali, sababu sina pesa ya dalali.
Aliye na gari anitumie meseji kwenye Pm
au anipe namba yake nitamtafuta...Kama gari ipo ata leo tunafanya biashara.
Natanguliza shukrani, nipo DSM
Kwa hiyo hela heri ununue gazeti ujipepee.
Ume panic mkuu.....ila huo ndo ukweli.Usilolijua litakusumbua..Pole yako!
Ume panic mkuu.....ila huo ndo ukweli.
Dah, hii JF hatariHiyo hela tuipeleke shambani mkuu, nina strategy na plans zote na baadhi ya vitendea kazi.
Pesa tu ndio changamoto, tena m7 tutalima shamba kubwa sana. Nipo serious. By next year this time tunaweza kuwa mimi na wewe tunamiliki gari kali zaidi ya hilo. Kila mtu lake na shamba bado mtaji upo