Umeongea vizuri sana. Kanywe soda duka la jirani uwaambie ndakuja kulipa. Mara nyingi watu huwaza mabaya tu, kama mdogo wa mke akiwa na tabia mbaya unamweleza dada mtu, haiwezekani unamtimua mdogo mtu
Pole, ila Usichanganye Imani kama unatumia udi, chumvi, ubani, hirizi na vinginevyo tumia hivyo tu.
Na kama unamkiri Yesu Kristo Bwana au damu yake hakikisha una uhalali wa kulitumia. Uwe safi hakuna chochote kitakacho kusumbua maana yeye hachangamani na yeyote.
Jina lake na Damu yake...
Pole, mwanaume ameumbwa kujitoshereza. Kama ni mkristo angalia laana aliyopewa adamu, Kwa jasho utakula na ardhi ikaamuliwa kuota nyasi na cheki ya Eva, kwa uchungu utazaa. Hivyo toka awali mwanaume lazima ugangamale ili maisha yaende. Hatuna cha kujifunza toka kwenu
Fanya kazi serikalini, achana na private mradi ukiisha na kazi imeisha unaanza upya kutafuta ajira. Miaka minne sio mingi na unaweza isifike ukapigwa chini. Fikiria kwa makini na kama unafamilia ndio ufikirie zaidi
Yapo tena ya umilele ndugu. Ila ukitaka kuipenda dunia na mambo yake utaishia sema hayapo. Believe me tengeneza na Mungu kabla hujafa.
Jiulize.
1. Je Mungu yupo?
2. Uchawi upo?
3. Kama haupo basi huviamini vitabu vya dini.
Hatupaswi kuwahukumu watumishi wa Mungu maana hukumu ni juu yake yeye mwenyewe. Jukumu letu ni kuwaombea watende kazi zao vizuri, usiinue kinywa chako kuhukumu
Kama umeacha kwenda na unamwabudu Mungu kwa roho na kweli basi Mungu akubariki. Lakini maandiko yanasema " .....msiache kukutanika ..." Kanisa linapaswa kujiendesha lenyewe ni lazima lijengwe na waumini, na sio muda wote panakuwa na michango mingi.
Nikuombe ndugu yangu kama muumini wa kristo...
Hiii inategemea amekufa nani na wapi sasa watu wanakufa kila siku misiba yote misa aongoze askofu tu?. Sijaona mantiki ya swali lako limekaa kishabiki sana halina maana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.