Recent content by PARRIE KIJIKO

  1. PARRIE KIJIKO

    Kwa first year na wanachuo wote

    acha uongo mkuu, kweli kuna graduate gani wa BE, CM, LMV, ARCHTECTURE, INTERIOR DESIGN, EE, GM ambae bado anakula ugali wa mama home!makampuni kibao yapo, serikalini nako uhitaji si haba
  2. PARRIE KIJIKO

    Ipi ni Shule nzuri za wasichana Mbeya au Iringa ?

    st fransis mbeya au st maryz ulete iringa
  3. PARRIE KIJIKO

    Ifunda Tech yafungwa kwa muda usiojulikana

    nlikua six,nlipoteza wanangu kibao sana kina max,gota etc!!!!!but walau kuna vitu fulani vilibadilika
  4. PARRIE KIJIKO

    Kuhusu registration chuo cha Ardhi

    Hostel za savei plaza zishafungwa bana
  5. PARRIE KIJIKO

    Majina ya waliochaguliwa Ardhi 2014

    Unataka kubebwa huna lolote
  6. PARRIE KIJIKO

    Majina ya waliochaguliwa Ardhi 2014

    Ardhi hakuna shule ngumu kama jamaa alivotisha but kuna school kama tatu ni za motoooo hiyo ya BE ani SCEM na SURP(mipango miji) hizi zinaunafuu but kwingine kuna balaa
  7. PARRIE KIJIKO

    Bora kusoma chuo kizuri au kozi nzuri

    Hahahah mwenge wa uhuru
  8. PARRIE KIJIKO

    Majina ya waliochaguliwa Ardhi 2014

    Naomba msaada nisaidiwe kuyapakua maana siwezi soma PDF
  9. PARRIE KIJIKO

    Ifunda Tech yafungwa kwa muda usiojulikana

    Ulikua form ngap those days?and mwaka gani coz tosa migomo ilikua endless
  10. PARRIE KIJIKO

    Naomba kuelekezwa, nataka kununua Kiwanja

    unataka nunua kiwanja sehemu gani ili nikuelekeze kwa undani zaidi
  11. PARRIE KIJIKO

    Fomu namba 69 na 70 za uthamini wa ardhi na makazi

    Yaaaaah hivi ndivo ilivo!this ans is definately from a Land valuer
  12. PARRIE KIJIKO

    Umiliki wa Ardhi nisaidieni

    Hati miliki ya kimila inatolewa kwa ardhi za vijiji na hati miliki kuu hutolewa kwa maeneo ya mijini!!! Na hizi zinasimamiwa na sheria mbili tofauti!hati miliki za kimila zinatolewa na halmashauri za vijiji wakati za general land zinatolewa na kamishna wa ardhi!!
Back
Top Bottom