Habari za humu wana JF,
Kama kichwa cha habari kisemavyo,
Naomba kujua namna ya kufukuza mijusi ndani yani kuna nyumba nimehamia ina mijusi sana, nimeshalipia miezi sita siwezi kuhama hadi kodi iishe.
Mie siyo mwalimu ila mdogo wangu yupo bunda mjini shule ya msingi ipo mjini kabisa anataka mtu yeye aende, meru dc, hai dc, babati, moro mc, dodoma mc au rombo kama kuna mtu anataka aje pm nitawaunganisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.