Mimi naishi mjini na nimekuwa nilipokea watu kama wewe kwa muda mrefu. Nilichogundua ni hata mtu umfanyie wema upi.bado wanaongea maneno ya jinsi hawakuthaminiwa. Na kibaya zaidi ni kwamba watu wenyewe wanaoishi kwa watu hawana appreciation hata kidogo. Unakuta wao walikuja kwa ajili ya shida...
kwani wadada ndo wako sahihi? inaonekana kama chanzo cha matatizo ya ndoa kinatokana na wanaume! Mbona siku hizi waharibifu wakubwa wa ndoa ni wanawake! Kiasi hata vijana wanaogopa kuooa.
Akija mle kimashala. Hakuna.kumwambia tufanye mapenzi. Kaa chini ongea naye, shika nywele ukimpigisha stroy na sehemu nyingine nyeti...ukisikia anaanza kuishiwa pumzi ndo.wakati wa kumuomba. Hapo kukataa siyo rahisi.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
uzoefu wangu hawa viumbe hawako static huwa wanabadilika especially akikuambia hivyo na ukakubali na uache kuhangaika naye ila bado unamsalimia vizuri. Na wakati mwingine wanakuwaga na wivu wakikuta umesimama na mwanamke mwingine mnapiga story mnacheka. Kwa ufupi hawa watu hawataki mtu wa...
ni kweli mkui..sez nilipata ila.ndo hivo kujishau kwingi pamoja na huduma.Hata mi wakati namuacha nilimwambia we ulifanya nikuone mtu hatari. kutoka kukupenda na kuogopa roho uliyonayo si ya kawaida.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.