Wanawake nisaidie hii imekaaje?

Wanawake nisaidie hii imekaaje?

Umempenda msichana na unamhudumia mara anaanza za kuleta. Kila mkipanga kukutana anakuwa na sababu zisizoisha ila bado akiwa na shida anarudi kwako. Sasa umeamua kuachana naye na una una mtu mwingine ila kajitahidi mpaka kapata namba ya mtu wako huyo. Huyo ex kila siku anatuma simu kama zinatoka kwa mwanamme anayemtaka huyu mwanamke mpya. haitoshi na anatuma sms za mapenzi kwako pia lakini ni namba ya mtu usiyemfahamu. Huyu anakuwa na lengo gani maana yeye kakataa mechi na wakati alichotaka kwako ulimsaidia ila ushaamua kuhesabu yote uliyomfanyia kama sadaka na sasa una mtu mwingine. Hii ni nini hasa?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Wanaume tuna pepo yetu. Kama ni sadaka tunatoa za kutosha
 
Umempenda msichana na unamhudumia mara anaanza za kuleta. Kila mkipanga kukutana anakuwa na sababu zisizoisha ila bado akiwa na shida anarudi kwako.

Sasa umeamua kuachana naye na una una mtu mwingine ila kajitahidi mpaka kapata namba ya mtu wako huyo.

Huyo ex kila siku anatuma simu kama zinatoka kwa mwanamme anayemtaka huyu mwanamke mpya. haitoshi na anatuma sms za mapenzi kwako pia lakini ni namba ya mtu usiyemfahamu.

Huyu anakuwa na lengo gani maana yeye kakataa mechi na wakati alichotaka kwako ulimsaidia ila ushaamua kuhesabu yote uliyomfanyia kama sadaka na sasa una mtu mwingine. Hii ni nini hasa?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Alikufanya sponsor ukawa unamsaidia lakini hakupendi,umepata mwingine umemfungia vioo na misaada hutoi tena kwa hiyo anataka kuwagombanisha wewe na new babe'.
 
Unampata Faiza Ally?
Basi ndio aina ya mwanamke uliyekutana nae,usije ukathubutu kujihusisha nae kwa namna yoyote...hata akijitolea kukupa offer ya nyapu,usiiguse!

Kama ukijihusisha nae kwa namna yoyote siku yakimpanda anakudhalilisha kweupeee
Moyo umeongeza mapigo ulipoanza na hili jina ( Faiza), lakini umerudi kawaida nipo fika kwenye jina "Ally "......😂
 
Umempenda msichana na unamhudumia mara anaanza za kuleta. Kila mkipanga kukutana anakuwa na sababu zisizoisha ila bado akiwa na shida anarudi kwako.

Sasa umeamua kuachana naye na una una mtu mwingine ila kajitahidi mpaka kapata namba ya mtu wako huyo.

Huyo ex kila siku anatuma simu kama zinatoka kwa mwanamme anayemtaka huyu mwanamke mpya. haitoshi na anatuma sms za mapenzi kwako pia lakini ni namba ya mtu usiyemfahamu.

Huyu anakuwa na lengo gani maana yeye kakataa mechi na wakati alichotaka kwako ulimsaidia ila ushaamua kuhesabu yote uliyomfanyia kama sadaka na sasa una mtu mwingine. Hii ni nini hasa?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Hawa kwangu mimi huwa nawaona ni matapeli wa mapenzi na wapo wengi sana wapo kimaslahi tu roho mbaya wasiojua kurudisha fadhira demu kama huyu hafai ata kuolewa atakuja kukunywesha sumu


na ndio maana mimi siku hizi mwanamke akinikubalia mwisho mizinga miwili akiendelea kunikazia tendo huku
Anaendelea kuhitaji huduma nampiga chini mapema sana kuokoa uchumi wangu pole mtu wangu kwa kuliwa pesa zako bila kupata sex
 
Umempenda msichana na unamhudumia mara anaanza za kuleta. Kila mkipanga kukutana anakuwa na sababu zisizoisha ila bado akiwa na shida anarudi kwako.

Sasa umeamua kuachana naye na una una mtu mwingine ila kajitahidi mpaka kapata namba ya mtu wako huyo.

Huyo ex kila siku anatuma simu kama zinatoka kwa mwanamme anayemtaka huyu mwanamke mpya. haitoshi na anatuma sms za mapenzi kwako pia lakini ni namba ya mtu usiyemfahamu.

Huyu anakuwa na lengo gani maana yeye kakataa mechi na wakati alichotaka kwako ulimsaidia ila ushaamua kuhesabu yote uliyomfanyia kama sadaka na sasa una mtu mwingine. Hii ni nini hasa?

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Mhhh unamhudumia shilingi ngapi?
 
Hawa kwangu mimi huwa nawaona ni matapeli wa mapenzi na wapo wengi sana wapo kimaslahi tu roho mbaya wasiojua kurudisha fadhira demu kama huyu hafai ata kuolewa atakuja kukunywesha sumu


na ndio maana mimi siku hizi mwanamke akinikubalia mwisho mizinga miwili akiendelea kunikazia tendo huku
Anaendelea kuhitaji huduma nampiga chini mapema sana kuokoa uchumi wangu pole mtu wangu kwa kuliwa pesa zako bila kupata sex
ni kweli mkui..sez nilipata ila.ndo hivo kujishau kwingi pamoja na huduma.Hata mi wakati namuacha nilimwambia we ulifanya nikuone mtu hatari. kutoka kukupenda na kuogopa roho uliyonayo si ya kawaida.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Bado mnaangaika na Mapenzi
Iyo pesa ungekula mwenywe saivi ungekuwa toilet tuache mambo ya wanawake bana yanakera sana
 
Back
Top Bottom