Ni vyema ukawaulize wahusika.huenda na wewe ni miongoni mwao isipokuwa umekuja kusipo husika kwa watu hao ninachojua,nidhamu,uchapa kazi,muda,elimu na nafasi inapandisha cheo kwenye kila wizara Tanzania
Mfano wa kufa na kufufuliwa ni usingizi na kuamka.hakika namuomba Allah akujalie umfahamu yeye,na uiogope siku ya mwisho.Wewe utakufa lakini neno lako la upotoshaji litaishi.Hakika tumeumbwa ,tutakufa na tutafufuliwa siku ya mwisho.Acha kufanya maasi,walikuwepo wabishi kabla yako na sasa wapo...
Ndugu zangu ambao mna husudu uzinzi amini nakwambia,utavaa kondomu,utachukua tahadhali zote lakini ukiwa umebobea kufanya ngono lazima utaenda peku tu siku moja na utanasa.kwa hiyo kondom haitokusaidia utanasa tu cha msingi acha zinaa
Niliwahi kukisoma chote kilikuwa hakina cover.na mpaka hivi leo sijakisahau.kilikuwa kikiwahoji maahahidi na watuhumiwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.