Recent content by Papitor

  1. P

    Nina tattoo makalioni, mume wangu kuniambia nitafute mwanaume mwingine

    Wakati huyo jamaa anakuchora sehemu za siri alikuwa anakushika wapi? Bora tu ukaongeze tatoo nyingine.
  2. P

    Kwanini wanawake wazuri sana wanakataa wanaume?

    They are for display, not for consumption
  3. P

    Visa vya kweli: Siri za kujamiiana katika koo

    Bora usingefungua uzi.
  4. P

    Tetesi: Inasemekana Wachezaji wa Yanga wanatumia dawa za kusisimua mwili uongozi utoe tamko au upuuzie?

    Kinachomuuma huyu jamaa ni kwamba Yanga imefunga Vitalo jumla ya goli kumi katika mechi mbili sawa na wsstani wa goli tano kila mechi. Anataka timu kufungwa goli tano na Yanga iwe hakimilki ya Makolo. Kaumia sana maana Bacuti aliwasifia mno. Ni mtu ambaye hapo alipo anaiombea Yanga mambo mabaya...
  5. P

    Mwanangu anashindwa kutumia common sense?? Hii ni shida gani?

    Common sense is not very common. Askari akikiongea na askari mwenyewe akataja neno magazine, yule mwenziwe anaweza kudhani kuwa linalitajwa ni chombo cha Kuhifadhi risasi; lakini mwandishi akitaja neno hilo hilo kwa mwandishi mwenziwe, huyo mwenzake anaweza kudhani kuwa kinachizungumziwa ni...
  6. P

    Sijui kwanini nimeumia hivi

    Usiumie bro. Umetenda ulivyopaswa kutenda. Umeshapata thawabu zako kwa Mungu. Yeye litamtokea tukio kubwa zaidi na atakuja tena kwako. Jiandae kuchukua maanuzi magumu ama kumsaidia au la. Na siku hiyo haiko mbali.
  7. P

    Demu hataki tutabaruku kwenye mwanga

    Angalia isije ikawa demu wako ni shoga
  8. P

    Mtihani kweli kweli, dah SIMBA SC

    Mwaka jana kumbukumbu muhimu ilikuwa Simba 1 Yanga 5. Bila shaka mwaka huu unaanza na kumbukumbu ya kona dhidi ya Singida, penalty ya Kagere na Simba kubadili jina la MlaNDEGE kuwa MlaSIMBA
  9. P

    Vijana ambao hamjaoa, kama wewe sio kijana wa Kijita usije kujichanganya ukaoa binti wa Kijita

    Wee human (ni vigumu kutambua jinsia yako) umewatukana sana wanawake wa kijita , tena umetukana wote without exception. yaani Mama wooooooote wa kijita wenye watoto watano kila mtoto na baba yake!!! Weka akiba ya maneno maana hata wewe huna uhakika kwa asili mia moja kwamba huyo unayemuita baba...
  10. P

    ASFC DRAW: Simba, Yanga, Azam zapangwa na Vibonde

    Yes, myama Tembo ni kibonde mbele ya mnyama Simba. Huko mbugani tembo huliwa na simba hususan watoto wa tembo wanaonewa. Sidhani kama simba wana ubavu wa kumvaa tembo aliyekomaa. Nahisi simba wetu wamepangwa na watoto wa tembo.
  11. P

    Simba kazi kwenu

    Mbona umetutukana sana bro. Una hakika na unalolisema? Una hakika unacho kipimo sahihi pasi na shaka cha kumpima mwenye akili na asiye kuwa na akili. Isije ikawa wewe ndo hauna akili!
  12. P

    JE ulishawahi kufumania mke, mume au mchepuko laivu bila chenga wakizagamuana na mtu mwingine?

    Wewe kufumania girl friend tu umechanganyikiwa ukashindwa kuongea na ukahama mji. Akili zikakutuma uende kula wake za watu walioposwa na kutolewa mahari. Je wenye wake wakifumania nao wahame nyumba zao waje kwako na watoto wao? Kwa sasa unajiona mjanja sana ila ipo siku, tena haiko mbali...
  13. P

    Taifa Stars leo anafungwa na haifuzu Afcon

    Dua za shetani kwa Mungu hafui dafu
  14. P

    Boss wangu ananiumiza hisia zangu

    Imekuwaje tena ilhali wewe ni “strong and fearless “? Kiuhalisia Wewe ni jnsia gani maana kama simulizi inakinzana na jinsia vile!
Back
Top Bottom