Recent content by PAPAKINYI - SJUT 2013

  1. P

    John Kerry wa kipindi cha Obama ndio huyu wa Trump?

    habarini wadau!! kheri ya mwaka mpya!!! ninachokisikia ni kuwa waziri wa mambo ya ndani wa donald trump anaitwa john kerry (sina hakika km linaandikwa hivyo). ninachokikumbuka ni kuwa waziri wa mambo ya nje wa obama alikuwa na jina kama hilo....swali langu kwa wajuzi ni je, mtu huyu ni yule...
  2. P

    Nape Nnauye ufanye ulimi wako kuwa kiungo cha kujenga mshikamano katika chama na Serikali

    liwe la mzalendo, nipashe au lolote tu, mi nafikiri cha msingi ni hoja. tuache kudhalilisha ugreat thinkers wetu km tunavyojinasibu!
  3. P

    Godbless Lema ahudhuria mazishi ya Mbwa wa Nassari

    hakika mi mwenyewe nimeshangaa na kustaajabu sana.....hawafai kupewa mkono hawa, wachafu kabisa!!!
  4. P

    Tetesi: Wakati wowote mbunge wa Mtwara Mjini (CUF) atazungumza na waandishi wa habari

    1. nimeisikitikia UKAWA kwa maana ya vyama vyote vilivyokuwa vinaunda hiyo kitu.....kufa ukawa ni kufa kwa vyama shiriki. 2. nimeisikitikia chadema kwa maana ndiye baba (kinara) katika huo ukawa....kulegalega ukawa ni kulegalega kwa chadema. laikini pia sikuishia hapo tu, niliangalia sura pana...
  5. P

    Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

    chadema wamegeuka comedians siku hizi......hahahahahaaaaaaaa!!!!!
  6. P

    hata baadhi ya wenyewe hawako serious, vipi wengine tuwe?!!!

    kuna thread zinazotupiwa humu zikilaumu kusahaulika kwa haraka kwa suala la tundu lissu....si mbaya, lakini kwa mtazamo wangu, hii inaanzia kwa wenyewe hukohuko au niseme kuwa hata wao wenyewe wanalifanyia dhihaka tu jambo hili....nitatoa mfano mmoja, ukikutosha sawa na usipokutosha utatafuta...
  7. P

    Halima Mdee amponda aliyekuwa Mbunge wa Kinondoni, bwana Maulid Mtulia

    ukiona anayekukimbiza anaanza kumwaga matusi, basi we ongeza mbio tu kwani tayari ameshaanza kushindwa huyo na muda si mrefu atakaa chini au kugeuza alikotoka........mdee ni mkimbizaji anaeanza kutoa matusi!
  8. P

    BAVICHA kufanya uchaguzi, wadai uchaguzi mdogo ulikuwa kati ya CHADEMA na vyombo vya dola

    kiasi fulani nawahurumia cdm kwakweli, chama hakistahili kufa kizembe namna hii......nikikumbuka mbwembwe zile za miaka ya 2011, kifo hiki kinanishangaza sana!! namwangalia mwenyekiti anayeongea hapa....hakika anahuzunisha, anaonyesha wazi kuwa ye mwenyewe wala haamini na wala hajui...
  9. P

    Msanii Wema Sepetu arejea CCM, aitosa CHADEMA

    tatizo nilionalo hapo, unajua wema ni mtu fulani wa urembourembo....kupendeza, kung'aa na kutokelezea ni vitu ambavyo anavitilia maanani sana na ni sehemu ya maisha yake. vitu hivyo vyote, ukiiangalia kwa makini cdm, vitu hivyo ni kama vinakosekana........mbowe akikuangalia unaweza kudhani...
  10. P

    vijiviswali kidogo wadau!!!

    juzi kati hapa kulipita mambo mawili (2); moja ilikuwa ni ALBADIR ambayo, nasikia, ilikuwa ni ya nchi nzima (kusomwa). pili ilikuwa ni kuvunjwa kwa chungu huko upareni (kilimanjaro). matukio yote haya yaliasisiwa na chama fulani ili yaende kuathiri (kudhuru) chama kingine fulani hivi ambacho...
  11. P

    TANESCO na Makampuni ya Ving'amuzi Rudisheni Gharama ya Hasara Watanzania wanayoipata.

    una hoja nzuri tu, lakini jifunze kutamka 'asubuhi' na sio hasubuhi.
  12. P

    Waziri Mhagama: Ukosefu wa ajira umepungua kutokana na juhudi za serikali

    ni mzima kabisa isipokuwa ni jeuri tu ya shibe!!
Back
Top Bottom