Recent content by papag

  1. papag

    JamiiForums Tanzania Ewe mtoto mwenye kiburi, ipo siku utatuonyesha ulikomficha Humphrey Polepole

    Mwenye macho.... Mwenye masikio.... Na iwe hivyo kwa kibali chake Muumba!
  2. papag

    JamiiForums Tanzania Chimbo jipya ni The Embassy kwa Musuguri

    Picha tafadhali
  3. papag

    JamiiForums Tanzania Sikiliza ngoma hiyo ya Wenge Musica

    https://music.youtube.com/watch?v=Lzkj8FYVwQo&si=qy_RfMxgUxZioknh Haya hapa mashairi yake kwa kiswahili . Version:1.0 StartHTML:0000000156 EndHTML:0000117645 StartFragment:0000000469 EndFragment:0000117637 1. Mwanzo Naboyi koya epayi na bino — Sitaki kuja kwenu. Yaya na yo azalaki se ko...
  4. papag

    JamiiForums Tanzania Ulikuwa wapi? GenZ mtupishe kidogo

    Ndio ilikuwa fashion mkuu
  5. papag

    JamiiForums Tanzania Nadhani hapo ameeleweka vizuri

    Bado hujaelewa?
  6. papag

    JamiiForums Tanzania Ulikuwa wapi? GenZ mtupishe kidogo

    Enjoy Gen X na Millenia 😊 ☺️
  7. papag

    JamiiForums Tanzania Tuendelee kulima?

    Au?.....
  8. papag

    JamiiForums Tanzania Mmhh

    Au bhasiii!
  9. papag

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mawifi hawawapendi Wake wa Kaka zao? Madini yaliyojificha kwenye wimbo '12,600 Lettres' wa Franco Luambo

    Wengi wao hapo washa tangulia mbele za haki. Baadae alikuja na tungo nyingine akiwachana hao hao wanawake katika wimbo "MATATA YA MWASI"
  10. papag

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Biblia inazungumzia kuhusu pombe (divai na vinywaji vikali) kwa mtazamo mpana unaojumuisha maonyo dhidi ya ulevi, matumizi yake ya kawaida kama chakula au dawa, na umuhimu wa kiasi. Hapa kuna mambo makuu yanayoelezwa kuhusu pombe katika Biblia: 1. Onyo Dhidi ya Ulevi Uliokithiri Biblia...
  11. papag

    JamiiForums Tanzania Kwa maoni yangu naona lengo la TEC ni kunawa mikono kwamba tulionya kabla na tumeonya baada Kwa wazi Kwa Siri damu iwe juu vichwa vyenu wenyewe

    Wasio na uono wa rohoni hawatakuelewa. Watajidanganya ya kuwa Wamekubali matokeo.
  12. papag

    JamiiForums Tanzania Sikuona haya mabadiliko kabla , Nimeshangaa sana

    Si la kushangaza mkuu. Mimi nina zaidi ya miaka 3 au 4 sijakatiza sinza,makumbusho wala mwananyamala. Japokuwa nimekulia maeneo hayo. Sina cha maana cha kunipeleka huko
  13. papag

    JamiiForums Tanzania Sikuona haya mabadiliko kabla , Nimeshangaa sana

    Chalamila na gengr lake uwaulize
  14. papag

    JamiiForums Tanzania Vyakula na life style katika umri wa 40+

    Yaani sisi wa kaskazini tupunguze nyama? Aah wapi, wakati kuna kloriti ya kusafisha mwili. Masai hoyee
  15. papag

    JamiiForums Tanzania 🤣🤣🤣MAJAMBAZIII!

    Kazi ipoo!
Back
Top Bottom