Recent content by papag

  1. papag

    Tafadhali naomba leo Saa 3 Usiku tusipoteane hapa Jukwaani JamiiForums!

    Kiko wapiii? Bado hamjasema!
  2. papag

    Sound Bar vs Home Theater

    Habari wakuu? Naomba mnipe tofauti ya hivyo nilivyo taja hapo juu. Nini matumizi yake? Faida na hasara zake? Na ni ipi bora kuwa nayo nyumbani? AHSATENI
  3. papag

    Yanga ya Ligi kuu ni kama Barcelona ila Ya klabu bingwa ni kama Mashujaa tu. Je jk alikuwa sawa bado inashinda Ligi kwa mbinu sio?

    Nani kakwambia simba Kuna migogoro? Weka ushahidi hapa. Wewe jibu swali mko nafasi ya ngapi?
  4. papag

    Said Mwamba Kizota has come back to life as Kibu Dennis and Mohamed Mwameja has come back to the pitch as Djigui Diarra

    Hivi Kizota alimuona kweli? Tuulize sisi tulio muona pale shamba la bibi Km hajui kitu aulize au akae kimyaa
  5. papag

    RWANDA wapokea faru 10 kutoka Sauzi!

    Sasa atawafuga wapi?
  6. papag

    Kioo cha hisense smart 4k 58 inch

    Na protector yake?
  7. papag

    Kioo cha hisense smart 4k 58 inch

    Hicho kioo ni cha 4K smart? Vidaa?
  8. papag

    Kioo cha hisense smart 4k 58 inch

    Wakuu za muda? Je bei ya hichoo kioo ni kiasi gani? Nisije pigwa kwa uzoefu wenu naomba maoni yenu
  9. papag

    Je, warant inafanya kazi gani?

    Habari wakuu? Nilinunua hisense smart 4k inch 58. Miezi miwili iliyopita. Sasa jana kwa bahati mbaya ime crak kioo. Na warant inasema mwaka mmoja. Je naweza wasiliana na mwenye duka akanipa tv nyingine? Ahsante
  10. papag

    AZAM MEDIA tafuteni njia nzuri za kurecord mechi katika uwanja wa UHURU, angle mnazo-record ni za ovyo

    Walisha litolea ufafanuzi. Pale JWTZ hawataki ziwekwe camera za jukwaani. Sababu ya Kambi yao
Back
Top Bottom