Recent content by papag

  1. papag

    JamiiForums Tanzania Ujumbe toka kwa Fere Gola

    Kula ngoma na week-end njema
  2. papag

    JamiiForums Tanzania Ujanja wa Sokoni Dar

    Wakuu wewe lete mzigo tu. Mengine tuachie sisi. Dar es salaama moto!
  3. papag

    JamiiForums Tanzania Pastor Neema anaeleza kwa uwazi matumizi ya sadaka zinazotolewa kanisani, Nini maoni yako?

    Habari wakuu? Je kwa muktadha huu ni nini maoni au ushauri wako? Karibuni Pastor Neema anaeleza kwa uwazi matumizi ya sadaka zinazotolewa kanisani, akisisitiza kuwa sadaka hizo haziendi mbinguni wala hazichukuliwi na malaika, bali zinabaki hapa duniani kwa ajili ya kuendeshea shughuli za...
  4. papag

    JamiiForums Tanzania Tatizo la Moyo kwenda mbio na kusikia kelele Masikioni

    Poleni sana kwa changamoto hii ya kiafya. Kupata dalili za moyo kwenda mbio (palpitations) pamoja na kusikia kelele masikioni (tinnitus) ni jambo linaloweza kutia wasiwasi, lakini ni vizuri kujua kuwa dalili hizi mbili mara nyingi huwa zinahusiana. Hapa kuna mambo makuu yanayoweza kusababisha...
  5. papag

    JamiiForums Tanzania Tafakuri ya KP leo 19/05/26

    Weka maoni yako mdau
  6. papag

    JamiiForums Tanzania Angelou by Maquis

    Enzi za uhai wake Mzee wetu Kasongo Mpinda Clayton, wakati anaitumikia band ya Marquis du Zaire tarehe 18/6/1982 alitunga wimbo unaoitwa "Angelou". Na haya ni sehemu tu ya mashairi yake:- KASONGO MPINDA★ Mapenzi gani yanitembeza barabara yote nakua kama kichaaa. Kuzunguka kichochoroni kote...
  7. papag

    JamiiForums Tanzania Hapa naweza kufahamu namba ya simu?

    Habari wakuu? Je naweza kufahamu namba ya simu kwa kutumia hizi namba ? Ahsante
  8. papag

    JamiiForums Tanzania Msafiri. Oldies

    KISA CHA MSAFIRII _____________________ Mwaka 2000 katika ukumbi wa Mambo Club (baadae ukaitwa Maisha Club) uliopo pale Oysterbay jijini Dar, lilifanyika tukio kubwa la kihistoria la muziki wa kizazi kipya nchini. Kundi la Hip Hop la Kwanza Unit lilikuwa likizindua albamu yake ya Tatu iitwayo...
  9. papag

    JamiiForums Tanzania Vyombo vya habari kuweni makini. Msipokuwa makini hii mamlaka itawazika

    Rejea katuni ya kipanya
  10. papag

    JamiiForums Tanzania Fikra hadidu ya Masoud Kipanya

    Mbadoo
  11. papag

    JamiiForums Tanzania Fikra hadidu ya Masoud Kipanya

    Unasemaje?
  12. papag

    JamiiForums Tanzania Mkoa ulipo sasa hivi?

    Matokeo yao nadhani. Yatangazwe kwa tochi watu wabadili gia.
  13. papag

    JamiiForums Tanzania Mkoa ulipo sasa hivi?

    JEE KUNA UMEME?
  14. papag

    JamiiForums Tanzania Waislam inafaa kuomba kwa lugha isiyokuwa kiarabu?

    Inaruhusiwa
Back
Top Bottom