Usije jaribu kuchukua voltz sababu uzalishaji wa gari hizo ulishasitishwa itakuja kusumbua kwenye spare na usumbufu zaidi utaupata kama utahitaji body parts
Naunga mkono hoja...bora kuwa na dikteta mwenye akili kuliko demokrasia ......hebu imagine miaka 42 ya uongozi wa Gadafi libya imezaa matunda gani halafu linganisha na miaka 60 ya demokrasia imetufikisha wapi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.