Recent content by papaa nexus

  1. P

    JamiiForums Tanzania Msaada: Toyota Premio kuishiwa nguvu inapopanda mlima

    Kwa uhakika zaidi kafungue gearbox isafishwe then weka hydraulic yake na upya
  2. P

    JamiiForums Tanzania Nichukue gari ipi kati ya Toyota Voltz, Harrier, Rav 4 old na Premio?

    Usije jaribu kuchukua voltz sababu uzalishaji wa gari hizo ulishasitishwa itakuja kusumbua kwenye spare na usumbufu zaidi utaupata kama utahitaji body parts
  3. P

    JamiiForums Tanzania Kuna vita yoyote ya Marekani iliwahi kuwa na madhara kiasi hiki?

    Utofauti ni sababu Marekani alikuwa hawekewi vikwazo wakti urusi kawekewa vikwazo
  4. P

    JamiiForums Tanzania Mungu wa uchumi mioyoni mwa wajasiriamali

    Hongera mkuu umeni insipire...stay blessed.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Serikali imeungana na Dunia ya Kwanza kuwakandamiza Masikini. Acha wakandamizwe tu

    Naunga mkono hoja...bora kuwa na dikteta mwenye akili kuliko demokrasia ......hebu imagine miaka 42 ya uongozi wa Gadafi libya imezaa matunda gani halafu linganisha na miaka 60 ya demokrasia imetufikisha wapi..
  6. P

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimempa mtaji wa Tsh. milioni 1.5 ila ndani ya wiki 2 tu kabakiza 500,000

    Kaa nae kwanza akupe maelezo ni jinsi gani alivyokuwa anafanya hf ujue anakosea wapi muelekeze hf ndo uongeze
  7. P

    JamiiForums Tanzania Nini kinakuumiza kichwa katika biashara yako/zako?

    Ukiwa unatafuta mtu mwingine wa kkusaidia hzo ishu zako nishitue naweza kuwa msaada kwako
Back
Top Bottom