Eti vijana wana tamaa nyenyenyeee ...wanajikuta wao wana ambition ila wengine ni robots tu za kuwatimizia ndoto zao, wakipata wa kumfuja ndio wanasema muaminifu sijui bora sijui anajituma, stupid kabisa!Kuna watu wanazingua kweli wanahisi wao tu ndio wana ndoto za maisha wengine wapo kusindikiza miaka miwili hulipi mtu! Akikimbia unaanza lalamika kana kwamba yeye alikua sawa.
Hii biashara ya magari tunakosea wapi?? Mimi pia imenipiga.473,000,000 mie nawaza narudishaje 40m na magari kufa. Umenipa nguvu tena mkuu.
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
Biashara ya aina gan ya magarihii biashara ya magar tunakosea wapi?? mm pia imenpiga
Pole sana Mkuu wangu,Biashara nyingi zina changamoto ya madeni tusaidiane jinsi ya kuyakabili, naona ligi mmeielekeza upande wa maboss na waajiriwa baasi.
Fanya revenue analytics then tuma mrejesho.........gar ya abiria
Nipe mimi mshahara mkubwa huo..naahidi ntakua mwaminifuHivi mshahara wa laki 3, pamoja na elfu 30 ya maziwa kwa mwezi, chai pamoja na lunch ni ofisi inalipia kwa kijana mwenye level ya certificate ni pesa ndogo?
MZEE MIE ni usimamizi, maana niliweka kama kazi ya ziada na nikawapa vijana ambao ninawaona kwenye game kila siku.hii biashara ya magar tunakosea wapi?? mm pia imenpiga
Dah kweli kila mtu na tatizo lake. Mimi nilinunua gari kumbe bovu, likala pesa zangu zote. Wewe umebahatika gari nzima ila usmamiz ukawa ndio hivyo duh.MZEE MIE ni usimamizi, maana niliweka kama kazi ya ziada na nkawapa vijana ambao nina waona kwenye game kila siku..
wale vijana wakalewa mafanikio wakawa wanaanza kuwafundisha wenzao, mwisho wa siku wakawa wanagawa kazi( wanaanza kazi bila kukagua chombo) kufanya story fupi nimebakia na deni na chombo mbovu... nikitazama gari naona stress ni bora nitazame miti ya maembe ambayo maua yake yanadondoshwa na upepo..
Nimeishia la pili B. Sijui hiyo revenue analytic ndio nini.fanya revenue analytics then tuma mrejesho.........
Mchanganuo wa mapato(nauli + malipo ya kusafirisha mizigo) na matumizi(mafuta,matengenezo,mishahara n.k).............ya miezi 2 ya mwisho kabla biashara haijafanmeishia la pili B. sijui hyo revenue analytic ndo nn
Ndio maisha mnayoyataka haya, enyi waajiri?Kuna washkaji zangu nawafaham wanakampuni fulani mpya, ya science and technology niprivate kampun yakwanza kufunguliwa hapa bongo inayotoa hudama kama watoazo, Ila kuna taasisi moja ya Serikali tu ndio inatoa huduma kama zao.
Jamaa walibahatika kupata vijana wawil 2018 mwishon mpaka sasa napoongea kijana mmoja ndio kabaki wakiume,wakike alikimbia, maana walikuwa hawawalipi chochote hata nauli.
Lkn mwaka huu wiki iliyopita ndio wamemtafutia kijana chumba cha kukaa, wanalipia kila kitu wao ,umeme,maji na kodi. Lakini bado yule kijana hawajaanza kumlipa ingawa huwa wanampa ela yakula mara mojamoja sana.
Mpaka nasema waajiri wote wangepata vijana kama huyo kijana basi biashara zingendelea san.Kijana anazunguka kutafuta wateja balaa, kijana anaandaa documents zote, kijana anaenda site anapiga kazi za mamilion lkn bado katulia nahalipwi mpaka sasa. Wanadai wataanza kumlipa mwaka ujao mwanzo.
Kiukweli yule kijana daah licha ya elimu yake degee/diploma siju lakini ukimuona namzigo anaopiga unaweza sema ni jamaa tu ambae hajasoma. Washkaji wenye kampun wameajiriwa serikalini ,engine yao nihuyo kijana siku akiwakimbia nahisi kampuni yao itakufa.
Anataka kujishikiza kwenye kazi za wenzake , daaah, Ila Hilo jibu lako limenifurahisha SanaUpate pa kujishikiza?!!!boss hataki ujishikize anataka ku-deliver
Tukiacha mambo ya kuajiri, tuje katika maisha mengine kabisaNdio maisha mnayoyataka haya, enyi waajiri?
Na hawajamuahidi hata stock au asilimia ya faida...
Kweli wewe ndio boss, mtu anakuja kuomba kazi anakwambia anaomba "Ajishkize" na kweli ukiangalia unahitaji mfanyakazi kama yeye, vipi utamuajiri au utamtakia safari njema huko aendako?Anataka kujishikiza kwenye kazi za wenzake , daaah, Ila Hilo jibu lako limenifurahisha Sana
Tukiacha mambo ya kuajiri,tuje ktk maisha mengine kbsa
Rayvanny enzi anaitwa Raymond unajua alikaa WCB kwa muda gani mpk anatambulishwa rasmi kama member? Zuchu je?! unajua alikaa WCB kwa muda gani mpk anakuja tambulishwa rasmi kama member official? Achana na hao
tuje kwa MBOSSO unajua alisugua benchi kwa muda gani? mbosso tena alikua WCB wenzake wanaenda show wao wapo tu hata sh 100 ya maji hana,alikua WCB lkn msoto aliokua anaupitia sio wa kawaida,na sio kwamba huyo DIAMOND
au kina tale walikua hawamuoni,walikua wanamuona daily...Kwanini sasa walikua hawamsaidiiii kum sign aanze pata pesa zake kupitia muziki wake/kipaji chake?!
kwani mbosso/zuchu,raymond,na wengine wameanza kuonyesha vipaji baada ya kutambulishwa jamvini? walikua na vipaji vyao tangu hukoo kabla hata ya lebo wcb haijulikani.
Unaweza nisaidia niambia kwann walikua wanasita kuingiza wasanii wapya kwenye lebo mpk wajiridhishe nae? Unazijua sheria na taratbu za mpk kukubaliwa kuwa member wa WCB?? kama ni msoto basi waulize wasanii wa wcb nini maana ya msoto watakueleza maana yake..
Huo ni mfano HAI ambao ni rahisi sana kueleweka,iko hivi mkuuu mtu hawezi kuku kabidhi ofisi yake usimamie kama hata huwezi simamia na tatua matatizo madogo madogo tu ambayo unakutana nayo ukiwa ktk biashara yake.
Mtu unamkabidhi pikipiki/gari imsaidie ktk kufatilia biashara zako,ila chombo cha usafiri anachokitumia yeye kwa zaidi ya asilimia 81 kinapata hitilafu "harekebishi" ana paki hapo,anakwambia kitu flani kimeharibika. maana yake anataka mimii ndio nitengeneze.
mtu unamuacha ofisini unasafiri,huku nyuma wanakuja TRA/TFDA wanakuta kasoro ofisini badala a solve tatizo halafu boss akirudi amueleze A B C D,yeye anaacha OFISI inapigwa kufuli wakati alikua ana uwezo wakuchukua hata 50,000 akawapa wale raia wakasepa boss akirudi unamuelezea ilikua hv hv hv,ila anakubali ofisi ifungwe halafu anarudi kulala nyumbani kwasababu anajua boss haupo na ofisi imefungwa..
Mkuu hamna mwajiri yuko tayari ajiri au muachia mwajiriwa ofisi aisimamie kama huyo muajiriwa hajielewi,kujielewa si tu ktk utendaji kazi bora,ila kuna mambo mengi sana yanayoweza kukuonyesha huyu mtu anajielewa.
Mwajiri bora si yule anaetoa mshahara mkubwa,ingekua hivyo basi wahindi wasingekua wanalalamikiwa kila siku kuna vitu extra ambavyo mwajiri anataka avione kwa mwajiriwa wake lakn waajiriwa wengi wame focus kwenye mishahara,uktaka mfanyakazi afanye kazi sanaaa,atumie akli yake 99% kazini mlipe mshahara mkubwa jambo ambalo si sawa mfanyakazi anaekua bora kwasababu ya mshahara anaopokea huyo si mfanyakazi.
Biashara zina ups n down,vipi siku kampuni ikifilisiwa kbsa boss ukashndwa lipa hata wafanyakazi mishahara unafkiri kuna mfanyakazi ataebaki na wewe hapo? mimi kuna wakati nachelewesha mishahara makusudi kabisa,sio kwamba nakua sina hela ya kulipa raia ila nachelewesha makusudi nione hali zao wangapi watamudu...
kwahiyo mkuuu hamna mwajiri anapenda kutesa wafanyakazi wake HAKUNA ila kuna vitu waajiri wenye future wanatamani kupata wafanyakazi CREAM unajua kuna wafanyakazi halafu kuna ile CREAM ya wafanyakazi,ambao mpk unampata mfanyakazi cream unaweza kaa kwenye biashara ktk miaka mi 5 ukampata m 1....
Kuna vitu vingi mkuu ila mimi nataka tu ufahamu hamna boss anapenda tesa wafanyakazi wake labda huyo boss awe na mapepo tu.
sawaUnazungumza mambo mengi sana mkuu. Unashika hili unaacha.
1. Uvumilivu wa mfanyakazi biashara ikipitia downs: sasa biashara ikiwa njema unawapa peanuts then ukiharibikiwa unataka wastick na wewe? For what? Ugekuwa unawalipa vizuri wangeiona hali halisi na kuchagua wawe wavumilivu au wasepe. Its their right. Nothing you can do to force them.
2. Mwajiriwa akae benchi kwanza for a limited amount of time kabla ya kuanza kula raha mfano wcb singers. Understandable, Probation like. Ila at the end of the day walipwe according to the value that they offer. Sijaona ukigusia hili. Unataka probation iendelee forever? By the way, raymond, zuchu hawakuwa wakiingiza fedha wcb kabla ya kutambulishwa tofauti na staff wako ambaye ataanza kudeliver value from day 1 or else una matatizo kwenye hiring process yako.
3. Unatest loyalty ya wafanyakazi kwa kuwacheleweshea mishahara (stupid, childish, usiongee hili mbele ya watu wazima TENA). Dakika mbili mbele unasema hakuna mwajiri anayependa kutesa wafanyakazi wake makusudi. Can you see how silly it sounds? Limekaa kinafiki sana. Hao sio wake zako. Hamna mkataba wa shida na raha. Mna mkataba wa kudeliver value kwa malipo ya kiasi kadhaa kila baada ya siku zilizoainishwa.
4. Matatizo ya wafanyakazi. Kama hajielewi unaye wa nini? Sioni linaingiaje hapa. Kama hajielewi hata ukimpa mamilioni haitamfanya ajielewe.
5. Mfanyakazi anayefanya kazi vizuri kwasababu ya mshahara mkubwa sio mfanyakazi bora. Ni sawa na Unaniambia mfanyabiashara anayepambana kuimprove biashara yake ili apate faida sio mfanyabiashara bora.
Maoni yangu naona kuna tatizo la power play. Unajaribu kuexert your power over wafanyakazi wako kama mwajiri wao, ili uweze kupata as much as you can from them at minimum cost, instead of having clear roles and responsibilities and rewarding them according to their performance. Ndio hizo psychological manipulation za uvumilivu na loyalty zinapotokea.
Ukiwa unatafuta mtu mwingine wa kkusaidia hzo ishu zako nishitue naweza kuwa msaada kwakoMimi ni kuongeza customers base,natamani nipate kijana atayejua how to approach customers & customers retention huwa naumia kichwa sana mkuu vijana wengi sisi akiona mnalingana kimo tu basi sijui dharau au basi anaona mpo sasa, hata umakini anakosa wakati mwisho wa mwezi pesa anataka, yaani ukimpa targets za mwezi ndio kuzidi.
sawaMchanganuo wa mapato(nauli + malipo ya kusafirisha mizigo) na matumizi(mafuta,matengenezo,mishahara n.k).............ya miezi 2 ya mwisho kabla biashara haijafa
Too irrelevant!Tukiacha mambo ya kuajiri,tuje ktk maisha mengine kbsa
Rayvanny enzi anaitwa Raymond unajua alikaa WCB kwa muda gani mpk anatambulishwa rasmi kama member? Zuchu je?! unajua alikaa WCB kwa muda gani mpk anakuja tambulishwa rasmi kama member official? Achana na hao
tuje kwa MBOSSO unajua alisugua benchi kwa muda gani? mbosso tena alikua WCB wenzake wanaenda show wao wapo tu hata sh 100 ya maji hana,alikua WCB lkn msoto aliokua anaupitia sio wa kawaida,na sio kwamba huyo DIAMOND
au kina tale walikua hawamuoni,walikua wanamuona daily...Kwanini sasa walikua hawamsaidiiii kum sign aanze pata pesa zake kupitia muziki wake/kipaji chake?!
kwani mbosso/zuchu,raymond,na wengine wameanza kuonyesha vipaji baada ya kutambulishwa jamvini? walikua na vipaji vyao tangu hukoo kabla hata ya lebo wcb haijulikani.
Unaweza nisaidia niambia kwann walikua wanasita kuingiza wasanii wapya kwenye lebo mpk wajiridhishe nae? Unazijua sheria na taratbu za mpk kukubaliwa kuwa member wa WCB?? kama ni msoto basi waulize wasanii wa wcb nini maana ya msoto watakueleza maana yake..
Huo ni mfano HAI ambao ni rahisi sana kueleweka,iko hivi mkuuu mtu hawezi kuku kabidhi ofisi yake usimamie kama hata huwezi simamia na tatua matatizo madogo madogo tu ambayo unakutana nayo ukiwa ktk biashara yake.
Mtu unamkabidhi pikipiki/gari imsaidie ktk kufatilia biashara zako,ila chombo cha usafiri anachokitumia yeye kwa zaidi ya asilimia 81 kinapata hitilafu "harekebishi" ana paki hapo,anakwambia kitu flani kimeharibika. maana yake anataka mimii ndio nitengeneze.
mtu unamuacha ofisini unasafiri,huku nyuma wanakuja TRA/TFDA wanakuta kasoro ofisini badala a solve tatizo halafu boss akirudi amueleze A B C D,yeye anaacha OFISI inapigwa kufuli wakati alikua ana uwezo wakuchukua hata 50,000 akawapa wale raia wakasepa boss akirudi unamuelezea ilikua hv hv hv,ila anakubali ofisi ifungwe halafu anarudi kulala nyumbani kwasababu anajua boss haupo na ofisi imefungwa..
Mkuu hamna mwajiri yuko tayari ajiri au muachia mwajiriwa ofisi aisimamie kama huyo muajiriwa hajielewi,kujielewa si tu ktk utendaji kazi bora,ila kuna mambo mengi sana yanayoweza kukuonyesha huyu mtu anajielewa.
Mwajiri bora si yule anaetoa mshahara mkubwa,ingekua hivyo basi wahindi wasingekua wanalalamikiwa kila siku kuna vitu extra ambavyo mwajiri anataka avione kwa mwajiriwa wake lakn waajiriwa wengi wame focus kwenye mishahara,uktaka mfanyakazi afanye kazi sanaaa,atumie akli yake 99% kazini mlipe mshahara mkubwa jambo ambalo si sawa mfanyakazi anaekua bora kwasababu ya mshahara anaopokea huyo si mfanyakazi.
Biashara zina ups n down,vipi siku kampuni ikifilisiwa kbsa boss ukashndwa lipa hata wafanyakazi mishahara unafkiri kuna mfanyakazi ataebaki na wewe hapo? mimi kuna wakati nachelewesha mishahara makusudi kabisa,sio kwamba nakua sina hela ya kulipa raia ila nachelewesha makusudi nione hali zao wangapi watamudu...
kwahiyo mkuuu hamna mwajiri anapenda kutesa wafanyakazi wake HAKUNA ila kuna vitu waajiri wenye future wanatamani kupata wafanyakazi CREAM unajua kuna wafanyakazi halafu kuna ile CREAM ya wafanyakazi,ambao mpk unampata mfanyakazi cream unaweza kaa kwenye biashara ktk miaka mi 5 ukampata m 1....
Kuna vitu vingi mkuu ila mimi nataka tu ufahamu hamna boss anapenda tesa wafanyakazi wake labda huyo boss awe na mapepo tu.