ukiwaambia twende tukalime hawataki yaan wavivu wa mwili hadi akili. Hata waliko makazini hawana vision wanakimbilia kukopa benk ili wafanye gono zaid badala ya kununua kiwanja au mashamba. Nisingekuwa mzalendo kama mwl. JK. NYERERE ningelikuwa nimeshahama nchi na kwenda zangu kwa Obama
ukiwaambia twende tukalime hawataki yaan wavivu wa mwili hadi akili. Hata waliko makazini hawana vision wanakimbilia kukopa benk ili wafanye gono zaid badala ya kununua kiwanja au mashamba. Nisingekuwa mzalendo kama mwl. JK. NYERERE ningelikuwa nimeshahama nchi na kwenda zangu kwa Obama
ukiwaambia twende tukalime hawataki yaan wavivu wa mwili hadi akili. Hata waliko makazini hawana vision wanakimbilia kukopa benk ili wafanye gono zaid badala ya kununua kiwanja au mashamba. Nisingekuwa mzalendo kama mwl. JK. NYERERE ningelikuwa nimeshahama nchi na kwenda zangu kwa Obama
Wanajf tuendelee kufahamishana na kuelimishana juu ya kupaua na finishing ya nyumba! Na amin jf ni sehemu nzuri ya kujifunza. Karibun sana wadau wa ujenzi na mafundi
Jodoki Kalimilo na Mapolomoko tunahitaji ujuzi wenu juu ya bati gauge 32 zinaweza kuwa imara?? Na ktk utalaam wa kupaua kunauwezekano wa kupaua vizuri ile kuyafanya kuwa imara zaidi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.