Wadau nashindwa kupata title nzuri, na ningependa nipate mawazo yenu juu ya hili
kuna mtuhumiwa alifanya kitendo cha kinyama mkoani Tanga, na taarifa zika fika polisi na rb tukapewa, ila kwa bahati mbaya yule mtuhumiwa akatoroka.
ni kama wiki tatu sasa toka alivyotoroka, jana mtuhumiwa amekamatwa dar es salaam, na kufikishwa oysterbay, ilikua mida ya jioni kama saa mbili hivi, polisi waka waagiza wakamataji warudi leo asubuhi.
mshitakiwa ana umri wa miaka 21, kosa aliloshitakiwa nalo ni kumlawiti mtoto wa miaka 4, na sio mara moja na vipimo vya daktari vime thibitisha hilo,
cha ajabu ni kwamba polisi wana sema gharama za kumtoa mshitakiwa dar na kumpeleka tanga kufunguliwa mashitaka ni za watu waliomshitaki, mimi hili jambo nimeshindwa kuelewa, na tulivyo jaribu kufatilia ikaonekana ndio utaratibu eti serikali haina hela, nimwe zungumza na watu tofauti polisi wana sema ndio utarartibu
swali ambalo najiuliza ikitokea huna hela ina maana huyu mshitakiwa wata muacha huru bila kuangalia uzito wa kosa?.hakuonekani kama kuna muafaka na polisi wana cho dai ni hela kutoka upande wa walioshitaki ili wamsafirishe mtuhumiwa kwenda tanga
huyu mshitakiwa kamuharibu mtoto, sioni uwajibikaji wa serikali katika hili.hadi muda huu mshitakiwa yupo oysterbay,wanasubiri hiyo hela
kuna mtuhumiwa alifanya kitendo cha kinyama mkoani Tanga, na taarifa zika fika polisi na rb tukapewa, ila kwa bahati mbaya yule mtuhumiwa akatoroka.
ni kama wiki tatu sasa toka alivyotoroka, jana mtuhumiwa amekamatwa dar es salaam, na kufikishwa oysterbay, ilikua mida ya jioni kama saa mbili hivi, polisi waka waagiza wakamataji warudi leo asubuhi.
mshitakiwa ana umri wa miaka 21, kosa aliloshitakiwa nalo ni kumlawiti mtoto wa miaka 4, na sio mara moja na vipimo vya daktari vime thibitisha hilo,
cha ajabu ni kwamba polisi wana sema gharama za kumtoa mshitakiwa dar na kumpeleka tanga kufunguliwa mashitaka ni za watu waliomshitaki, mimi hili jambo nimeshindwa kuelewa, na tulivyo jaribu kufatilia ikaonekana ndio utaratibu eti serikali haina hela, nimwe zungumza na watu tofauti polisi wana sema ndio utarartibu
swali ambalo najiuliza ikitokea huna hela ina maana huyu mshitakiwa wata muacha huru bila kuangalia uzito wa kosa?.hakuonekani kama kuna muafaka na polisi wana cho dai ni hela kutoka upande wa walioshitaki ili wamsafirishe mtuhumiwa kwenda tanga
huyu mshitakiwa kamuharibu mtoto, sioni uwajibikaji wa serikali katika hili.hadi muda huu mshitakiwa yupo oysterbay,wanasubiri hiyo hela