Recent content by Moose Bull

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini watoto wa kike hasa Gen Z wazito kuanzisha salamu?

    Kama unawataka ungeanza kuwapa salamu mkuu.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Bila kifo cha Magu, Bashiru alikuwa anaukwaa Urais kimzaha

    Dah!
  3. M

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums - Agosti 2026

    Nimfundisheni wakuu jinsi ya kutumia app hii maana imenishinda kabisa.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Yaani ameni block, ame delete my number alafu analalamika kwamba hatuwasiliani

    "...ama Kuna mkorofi kati yenu aache mara moja..." 🎵🎶
  5. M

    JamiiForums Tanzania Wife hapendi niwe namchungulia utupu wake

    Kwamba Iran ikitushambulia kwa makombora tunaweza kujificha mule?!
  6. M

    JamiiForums Tanzania Mzalendo ni mtu gani na uzalendo ni nini?(Patriotic vs Patriotism)

    Kabisa kabisa!
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mzalendo ni mtu gani na uzalendo ni nini?(Patriotic vs Patriotism)

    Kuheshimu sheria na taratibu za nchi ndicho kitu pekee kinachofanya kuwe na kaunafuu kidogo . Hakuna uzalendo kabisa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mzalendo ni mtu gani na uzalendo ni nini?(Patriotic vs Patriotism)

    We ulitaka iweje mkuu. Uzalendo kwako ni nini?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mzalendo ni mtu gani na uzalendo ni nini?(Patriotic vs Patriotism)

    Hoja yangu ni kwamba, ili uwale mzalendo lazima uwe mtu uliyepandikiziwa imani fulani kuhusu nchi yako. Na mara nyingi watu wengi ambao wako smart huwa hawakubali kupandikiziwa tu imani fulani, wao sio watu wa kuamini tu bali ni watu wanaipenda logic Ili kukubaliana na jambo. Hata hivyo...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mzalendo ni mtu gani na uzalendo ni nini?(Patriotic vs Patriotism)

    Mtu mwenye akili nzuri hawezi kuwa mzalendo. Wale wanaoshikwa akili ndio wanauwezekano mkubwa wa kuwa wazalendo. Wenye akili iliyotulia hadi wakipende kitu lazima wawe na maslahi nacho wala si kushawishiwa na wengine.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Si Kila taarifa ya kwenye AI unaibeba kama ilivyo.

    AI zingine unatamani hata uzitie bakora. Ukiishtukia inaanza kuzugazuga kama Steven Wasira. Shenzi kabisa!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Nimemkumbuka Larry Madowo nikaishia kutingisha kichwa kwa masikitiko

    Lary Madowo kafanyeje huko daslamu. Msije mkaniambia kaiba kuku maana sitawaamini hata kidogo.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa Waliopigwa Chini na Samia Kuelekea 2024-2025

    Hapo sawa mkuu.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa Waliopigwa Chini na Samia Kuelekea 2024-2025

    Mh! Sidhai. Ngoja numuuliza shangazi yake hapa.
Back
Top Bottom