Angekuwa wa Kiba waEast Africa kama unavyosrma asingepga show Afrima 2016,kwani ulimuona Vanessa akipafomu Afrima japo unasema cjui anajulkana Nigeria,ukiwa mkweli unakuwa huru kuliko unafiki.
Mtoa post anakubaki afu anakataa,unasema wanawakilsha wote kimataifa halafu unarudi kinafiki sijui imeenda imerudi ,ukiona mtu anazngumziwa hivo ujue huyo ana nafas ,mbona hukumtaj Shetta umemtaj Kiba,
Kulala kwake hakumpi tuzo muambien aongeze bdii shoo ilkuwa haina kiwango ,majungu hayo ndo mana tunafeli,kulala hotelin au kulala kwako kunahusian vip na kukosa tuzo .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.