Sikufichi hakika umepotea muombe sana Mungu. Umenyang'anywa ulichonacho na Ibilisi. Usipotoshe walioitwa kwani imeandikwa shika sana ulichonacho asije movu akakichukua. Tumefikia utilimilifu wa dahari. Muda umebaki mfupi sana mpango wa rehema utafungwa. Jihadhari sana usiwe umetenda dhambi...
Wazi la busara Pima DNA kwa mtoto huyu wa pili halafu achana nae. Nipo Tabora wanawake wa kinyamwezi wana tabia ya kutokuwa na Mume mmoja. Sio waaminifu na sio wa kuweka ndani
Huyu ni kati ya Manabii na Makristo wa Uongo ambao Yesu alitutahadharisha kuwa watatokea na akasema watawadanganya hata yumkini waliowateule. Haiwezekani Mchungaji akaws anahubiri upako na utajiri na moyo wa kutoa throughout. Bila kuwahimiza watu kuungama na kutubu kwa ajili ya Ufalme wa Mungu
Mungu akubariki kwa neno hili lenye fundisho Kuu. Ni kweli kuwa kuna kumsahau Bwana Mara tupatapo madaraka. Lakini Bwana huyu huyu aliyekuinua anaweza kukushusha na kuugawa Ufalme wako. Tunahitaji tafakuri ya kina. Hususan wakati huu tulionao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.