UCHUMI: Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya China inakamilisha taratibu za ndani za kutoa fedha kwaajili ya ujenzi wa Reli ya Kisasa (SGR) unaoendelea kwa kipande cha 5
Dkt. Mwigulu amesema hayo baada ya kukutana na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian ambapo...
Halafu hawa viongozi wetu mbona wanatupiga swaga kuwa kipande cha SGR kutoka Dar es Salaam hadi Makutupora kimekamilika kwa urefu wa Km. 722 badala ya Km. 535?
Hizi Km. 187 zilizoongezwa zimejengwa angani?
Kwanza kwa nini hawa viongozi wetu wasiseme ukweli kuwa kipande hicho kina urefu halisi...
Hakustahili kufungwa kwa kuwa alikuwa akijitafutia riziki na alikuwa ni mzalendo wa SA halisi sisi waafrika akija mzungu akaghushi nyaraka anaaminika kwa kuwa ni mzungu lakini sisi weusi wenyewe kwa wenyewe tunakulana, ila kama alighushi nyaraka zake na akwa analifilisi shirika kwa manufaa...
Kuwa na kitu karibu na mji wa Serikali Mtumba au Ihumwa kwa kuwa na train ya expres, huo ni mpango maalumu ambao unahitaji fedha baada ya mradi mzima kukamilika na ni mpango maalumu unaojitegemea (Ni project), lakini siyo kwa sababu ya watu watokao Dar es salaam kuja kituoni, kwa maana ya...
Kama hajajibiwa na wanaotakiwa kujibu hawajajibu huku watu tayari wanazo taarifa za CAG kitu gani kifanyike? Kitu kinachotakiwa kufanyika ni kwamba kwa kuwa muda wa mtoa taarifa wa kisheria umefika wakati wake inatakiwa swala hili lijadiliwe na si kusubiri au mtu kujiuzuru tu kwa sababu wahusika...
It is not too late to claim that, because our current leaders, especially the German-dominated countries in our continent of Africa, are not aware of this, and if they do, then when the time comes for them to seize power, they will only spend money.
For the self-aware they tend to forget about...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.