Recent content by PANAFRICA

  1. P

    JamiiForums Tanzania Tshekedi, huenda akaingia mkataba wa kimadini na US, katika kulinda imaya ya Kongo!

    Kimsingi akina USA ndio hao hao arcthectis wa vita hiyo
  2. P

    JamiiForums Tanzania Tshekedi, huenda akaingia mkataba wa kimadini na US, katika kulinda imaya ya Kongo!

    Mobutu alifanya vivo hivyo wakamtumia sana na walipoona hawamuhitaji tena waka mdump. Angola walifanikiwa Marekani ikawasaidia kum eliminate Savimbi in return for Diamonds.
  3. P

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Serikali na Huduma za Jamii Tanzania

    What will be the use of paying taxes if at all no come backs to the tax payers?
  4. P

    JamiiForums Tanzania Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

    Hapana nakumbuka kipindi cha siasa za ujamaa na kujitegemea, liliibukuka kundi fulani sikumbuki vizuri kama ni mashahidi wa Yehova, ambapo wahumini hawakutakiwa kufanya kazi yoyote zaidi ya kuomba tu. Walinikuu mistari ya Biblia kuwa ndege wa angani hawalimi,hawavuni wala hawapandi lakini...
  5. P

    JamiiForums Tanzania Kwanini Padre hatoi sadaka kanisani?

    Picha inajieleza vizuri mapadre wamejitoa sadaka maisha yao yote.
  6. P

    JamiiForums Tanzania Rais wamulike maafisa balozi wamegeuka Mungu watu huko ughaibuni!

    Nishukuru maafisa kwenye ubalozi wetu ...nchini Kenya. Kijana wangu alikwapuliwa passport na wakora akaenda kwenye ubalozi wetu Nairobi akapewa ushirikiano wakutosha. Pongezi kwa maafisa wa ubalozi wetu nchini Kenya.
  7. P

    JamiiForums Tanzania Kama Dkt. Slaa alijivua nguo mwenyewe, mengine ni marudio

    Nani kakwambia Dr Slaa aliwahi kuwa Askofu?
  8. P

    JamiiForums Tanzania Serikali isimamie Tamko la Maaskofu lisisomwe Kanisani

    Kanisa Katoliki lina uwakilishi kamili wa kiselikari kwa kwa maana ya ubalozi wa Vatcan nchini. Nitajie dhehebu jinginelo lenye hadhi ya ubalozi hapa nchini, think big brother
  9. P

    JamiiForums Tanzania Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

    Who the hell is TEC? Paschal please give TEC the respect they deserve. Kanisa Katoliki ni taasisi pekee ya dini yenye uwakilishi na hadhi ya ubalozi kamili hapa nchini. Where do you get moral strenght to question TEC's statement in a very disrespectful manner ?
  10. P

    JamiiForums Tanzania Wakili Madeleka: Rais Samia nakusihi, Futa huu Mkataba wa Bandari

    Wazungu walau waliweza kupiga marufuku biashara ya utumwa, sasa hao waarabu wako si ndio waliwafunga minyololo na kuwaswaga babu zetu na kuwauza bila huruma. Ikumbukwe watumwa waliopelekwa uarabuni kizazi chao kiliisha kwa kuwahasi wanaume mpaka leo hakuna black arabs. Waliopelekwa Marekani...
  11. P

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la mzigo huu, wacha tu bandari ibinafsishwe

    Inaqezekana unasema ni kweli ila kumbuka makuadi wa ubinafsishaji wana mkono mrefu na mikakati hatarishi, wana uwezo wa ku inflitilate mfumo wa bandari na kuudhoofisha kimkakati ili kuhalarisha malengo yao ya kinyonyaji.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Video: Kumbe wasomi wetu wanaweza, Kongole kwa Architect wa mjengo wa TPDF HQ Dodoma, Pentagon Ikasome

    Hata uendeshaji wa bandari tunaweza saana bila mwekezaji kinachotakiwa ni uhakika wa dhana ya utawala bora na kuthibiti rushwa na ufisadi.
Back
Top Bottom