kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,153
- 16,147
Naona tangu itoke taarifa ya kunyofolewa kilemba cha ubalozi Dkt. Slaa wengi wamekuja na stori nyiingi kama kuna kosa kubwa limefanyika,
kama Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema hukupa uhai ikafikia kipindi akautwaa uhai wake, ndugu na watu wa karibu na wanafiki pia wakalia nini dk slaa kunyng'anywa ubalozi.
Mbona mpaka leo hii hamjahoji kwanini alivuliwa uaskofu yeye mwenyewe hajasema mpaka leo hii ni siri yake m, tusiwapangie watu cheo ni dhamana slaa si wa kwanza, kama alikula kiapo cha kutofungua zipu wala kumpigia goti manzi halafu akakengeuka.
Hilo wala si geni kwanza ubalozi wenyewe aliupata kwa zari hata hayati Mzee Mwenyewe Magufuli jembe sidhani kama angevumilia utopolo kama huo wa mizingulizi, sidhani kama CHADEMA wamemsamehe kwa ule mkutano wake wa Serena.
kama huna maadili na unataka kuwapindua waliokuzawadia hilo koti sio lawama kukuvua.
Dkt. tuwache tujipige chai kwa mihogo ya kukaanga na kachumbari.
Alijivua nguo kanisani alijivua nguo CCM alijivua nguo CHADEMA na sasa kwenye ubalozi hili pia litapita maisha yaendelee!
Haya tuone jua lisitoke,usiku usiingie na mvua zisinyeshe magari yasisafiri wala umeme usiwake kisa tu slaa mmoja kavuliwa kilemba cha ukoka!
Tukutane anfield kesho kwenye karamu!
kama Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema hukupa uhai ikafikia kipindi akautwaa uhai wake, ndugu na watu wa karibu na wanafiki pia wakalia nini dk slaa kunyng'anywa ubalozi.
Mbona mpaka leo hii hamjahoji kwanini alivuliwa uaskofu yeye mwenyewe hajasema mpaka leo hii ni siri yake m, tusiwapangie watu cheo ni dhamana slaa si wa kwanza, kama alikula kiapo cha kutofungua zipu wala kumpigia goti manzi halafu akakengeuka.
Hilo wala si geni kwanza ubalozi wenyewe aliupata kwa zari hata hayati Mzee Mwenyewe Magufuli jembe sidhani kama angevumilia utopolo kama huo wa mizingulizi, sidhani kama CHADEMA wamemsamehe kwa ule mkutano wake wa Serena.
kama huna maadili na unataka kuwapindua waliokuzawadia hilo koti sio lawama kukuvua.
Dkt. tuwache tujipige chai kwa mihogo ya kukaanga na kachumbari.
Alijivua nguo kanisani alijivua nguo CCM alijivua nguo CHADEMA na sasa kwenye ubalozi hili pia litapita maisha yaendelee!
Haya tuone jua lisitoke,usiku usiingie na mvua zisinyeshe magari yasisafiri wala umeme usiwake kisa tu slaa mmoja kavuliwa kilemba cha ukoka!
Tukutane anfield kesho kwenye karamu!