Jf ni sehemu sio tu ya burudani pia kuelimishana pia...
Hapo kinachofanyika, jamaa anamchukua malkia wa nyuki na kumhifadhi sehemu yoyote katika mwili wake na nyuki wakisikia harufu ya mlkia ndo HVO wanatanda ktk mwili wote wa MTU.
daah oya si useme tu ulikuwa juu ya mawe, hayo ya sijui kijana makini sijui nini yanatoka wapi, huo mzuka haukuwa wa watu wenye hela za mawazo. VUNJA MIFUPA WAKATI MENO IKO. Dizaini yako ndo full kusumbua vijana uzeeni mkizinyaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.