Recent content by Pampam

  1. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    Kaka yangu shossi usijali ngoja nipokee salari nitakupm kwani njiwa kweli nawataka na nitajitahidi niwafuge vzr
  2. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    nashukuru kaka yangu kwa maelezo uliyonipa!yanajitosheleza sana؛njiwa sanaa ni wale njiwa weupe kabisa waso na doa؛vp unao au unajua wanapatikana wapi?
  3. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    habari kaka?ninaomba unielekeze chakula cha njiwa hasa ni nini?je wewe unao njiwa sanaa?madawa yao ni yapi?
  4. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    Mama timmy nimemaliza kujenga banda la njiwa jana.sasa ndo natafuta njiwa wa kuwaweka humo؛naomba unisaidie nitapata wapi njiwa sanaa?
  5. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    Nitafanya then intruding hapa.
  6. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaweza kujiuliza hili!

    Dah! Imekuwa Kesi?huo ni mtazamo wangu na hakuna wa kunibadilisha.baki na wa kwako nami nibaki na wangu:bowl::A S thumbs_up:m
  7. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna msichana ananipenda

    Hapa nimeona ratio kubwa sana huko mbele.usiposema ukweli sasa ibilisi akimbie utakuja Juta huko mbeleni
  8. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama jina lako ni Mary, marufuku kuwa kahaba...!

    Wewe!halafu haujui amino mpaka umwite huyo mwanao?pole weeeee:fencing:
  9. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnaweza kujiuliza hili!

    Mi nina uhakika yeyote anaevaa mavazi ya nusu uchi atakua hajiamini Kama yeye ni mwanamke mrembo na anahitaji watu wamuone kuwa yeye Yupo na ni mrembo hivyo kwa kuvaa kwake nusu uchi na watu kumwangalia kwa mshangao yeye anaona yuko safi sana.hao ni wa kuonea huruma kwani wana vidonda kwenye...
  10. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama jina lako ni Mary, marufuku kuwa kahaba...!

    Wa ajabu sana wewe
  11. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    Ni kweli usemavyo mama timmy.mi kufuga Sijui kabisa ila natamani sana na jmos inayokuja namwita fundi anitengenezee Banda langu la njiwa kabisa ndo nianze kutafuta njiwa niwaweke humo.nitajua tuu.
  12. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    Ni kweli usemavyo mama timmy.mi kufuga Sijui kabisa ila natamani sana na jmos inayokuja namwita fundi anitengenezee Banda langu la njiwa kabisa ndo nianze kutafuta njiwa niwaweke humo.nitajua tuu.
  13. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    Samahani Kama nimekukwaza.mi ninachojua ni kwamba njiwa wanajengewa mabanda halafu unawapa chakula kidogo na maji ya kunywa.watatoka asubuhi na jioni watarudi.ndo maana nikasema ni rahisi sana kuwafuga
  14. P

    JamiiForums Tanzania Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

    Kumbe huku jf kuna vitu vzr na vya maendeleo.nimechelewa sana kujua.mimi hata kufuga sijui ila nit anazaa na njiwa.kwani na hii ni raisi zaidi kuwafuga.
  15. P

    JamiiForums Tanzania MAPENZI! mwanzo na mwisho wake!

    Safi sana .we mkali sana tena sana
Back
Top Bottom