Cha kwanza sifanyi kazi unayosema nafanya, pili
Anayejua unafanya kazi gani ni mwajiri wako na ofisi za Bima(NHIF na nk) na hii category ya occupation haijawekwa kwa ajili ya Madaktari hii imeweka kwa ajili mashirika ya Bima yawasaidie wao kama wao
Sasa bifu kiaje wakati mwanzo nimemuliza ya kwamba kwani hao Askari wanapoenda kutibiwa wanavaa kombati? Jibu ni hapana, sasa kama jibu ni hapo hapo utamjuaje kama ni askari au laaa.
Yani kama haendi na pesa ndo nini, unataka kusema nini jombaa, kwamba ile Bima Ina describe kila kitu au?
Na kama unataka kujibu jibu lako kupitia Bima jombaa hujui unachokisema
Kwani Askari akienda kutibiwa anakuwa amevaa combat/uniform au anakuwa kiraia?
Utamtambuaje mtu anaekuja kutibiwa kama huyu ni askari au ni raia?
Kwenye hii vita maPolisi wakiamua kunyoosha hakuna dokta atatoboa maana hata Rais wa nchi hii kwa sasa anawasikiliza maPolisi vibaya mno kwa sasa na...
Madereva ni watu wanaovunja sheria kila siku na pia madereva hawapo tayari kutoa pesa za faini zaidi 30k kwa hiyo wakitoa hizo kumi kumi ni sawa tu waacheni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.