Pongezi kubwa ziende kwa mzee wangu, hivi sasa ndo naona matunda yake, just imagine nimebalehe ila mzee anakwambia saa12 jioni uwe ndani .
Na alikuwa ana vitu viwili tu kama hauna usingizi soma na kama umechoka kusoma lala kingine mzee wangu alikuwa anapiga viboko mpaka akili inakaa sawa yani...
Yani mlitaka mumue Dudubaya kwa kumdanganya kuhusu ugonjwa wake halafu mnataka akae kimya?
Hapo Dudubaya na hao wengine Nani mzalendo? maana Dudubaya kaongea ukweli
Maisha au mishahara waliyonayo ni ya kawaida ila sio kusema njaa kali, hapo labda useme wao wamezoea kufanya mambo hayo yani ni kama kautamaduni kwamba ukiwa na kosa lazima akukamue kweli kweli nakupa mfano ukiingia kwenye 18 za TRA wanakukamua au hawakukamui swali Wana njaa wale? au tu hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.