Kwanza mnatakiwa mjue DCI haipo kwenye Jeshi la Wananchi, hiyo ipo kwenye jeshi la Polisi ambapo kirefu chake Director of Criminal Investigation ambpo Mkurugenzi Mkuu wake ni Ramadhani Kingai
Jw kuna kitu kinaitwa MI yani Military Intelligence kwa hiyo tofautisha kati CI na MI
Wewe jamaa vipi kwani hao madereva wanajua ndo maana wanatoa hizo hela
Asilimia 99.9 ya daladala za bongo zinamakosa, hao madereva bora watoe 2000 kuliko kulipa zaidi ya 30k au inakuuma wao kutoa hizo buku2 2, wao wameridhia wewe inakuuma nini
Sema nini twende mbele turudi nchi hii imeoza lakini pia swala la wananchi kutaka kufanya uharibifu kwenye miundombinu hii sio nzuri asee na hapa ndo mnahalalisha vyombo vishughulike na waandamanaji kweli kweli
Amka zako shika kibango chako ungana na wanao andamana sasa ukisema sijui uchome huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.