Recent content by pamoja Santa

  1. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    We jamaa emu kuwa na adabu na nidhamu hunijui wala siujui
  2. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Asante Mkuu
  3. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Cha kwanza sifanyi kazi unayosema nafanya, pili Anayejua unafanya kazi gani ni mwajiri wako na ofisi za Bima(NHIF na nk) na hii category ya occupation haijawekwa kwa ajili ya Madaktari hii imeweka kwa ajili mashirika ya Bima yawasaidie wao kama wao
  4. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Hahah eti wagusika wanajua, hivi wewe jamaa unakisikia unachokiongea kweli au ndo umeamua kujifurahisha hapa. Narudia tena hicho kitu hakipo
  5. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Siwezi kuongeza kwa vitu unavyovitunga wewe na mbavyo havina uhalisia
  6. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Sasa bifu kiaje wakati mwanzo nimemuliza ya kwamba kwani hao Askari wanapoenda kutibiwa wanavaa kombati? Jibu ni hapana, sasa kama jibu ni hapo hapo utamjuaje kama ni askari au laaa.
  7. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Wewe ndo unatakiwa uongeze ufahamu, hakuna anayejulikana kazi yake kupitia kutibiwa ni wewe ndo nakusikia
  8. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Inategemea na ameenda kupima nini
  9. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Yani kama haendi na pesa ndo nini, unataka kusema nini jombaa, kwamba ile Bima Ina describe kila kitu au? Na kama unataka kujibu jibu lako kupitia Bima jombaa hujui unachokisema
  10. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Kwamba ukienda lab kucheki damu inaonesha uAskari sio? Haha
  11. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Anatambulikaje emu tuambie
  12. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Sina huruma na askari toka washiriki kuua wananchi Oktoba 29

    Kwani Askari akienda kutibiwa anakuwa amevaa combat/uniform au anakuwa kiraia? Utamtambuaje mtu anaekuja kutibiwa kama huyu ni askari au ni raia? Kwenye hii vita maPolisi wakiamua kunyoosha hakuna dokta atatoboa maana hata Rais wa nchi hii kwa sasa anawasikiliza maPolisi vibaya mno kwa sasa na...
  13. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Google Pixel 7A

    Eleweka basi mkuu mara 7a mara 8a
  14. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi-Askari wa Usalama Barabarani wanaoomba rushwa tena bila kificho—je, wewe umewahi kukutana na hali hii?

    Madereva ni watu wanaovunja sheria kila siku na pia madereva hawapo tayari kutoa pesa za faini zaidi 30k kwa hiyo wakitoa hizo kumi kumi ni sawa tu waacheni
  15. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania TUJIKUMBUSHE: Vita kali kati ya Haji Manara na Jerry Muro

    Haha ila Muro
Back
Top Bottom