Recent content by pamoja Santa

  1. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Wako wapi Makamanda wa JWTZ Meja Jenerali Mhona na Meja Jenerali Mkeremy?

    Kwanza mnatakiwa mjue DCI haipo kwenye Jeshi la Wananchi, hiyo ipo kwenye jeshi la Polisi ambapo kirefu chake Director of Criminal Investigation ambpo Mkurugenzi Mkuu wake ni Ramadhani Kingai Jw kuna kitu kinaitwa MI yani Military Intelligence kwa hiyo tofautisha kati CI na MI
  2. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Hi nchi imeharibika kila angle, traffic wanaposimamisha kila daladala

    Wewe jamaa vipi kwani hao madereva wanajua ndo maana wanatoa hizo hela Asilimia 99.9 ya daladala za bongo zinamakosa, hao madereva bora watoe 2000 kuliko kulipa zaidi ya 30k au inakuuma wao kutoa hizo buku2 2, wao wameridhia wewe inakuuma nini
  3. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Iran imesema itafunga tena mlango wa Hormuz ikiwa vurugu za Marekani zitaendelea na wapo tayari kwa vita vya muda mrefu

    Iran ni mjinga sana. Hiyo Hormuz inamilikiwa na nchi nyingi kwanini anataka yeye tu ndo awe last say
  4. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli aligoma kuajiri watu halafu akawa anategemea mapato kuongezeka, hiki kilikuwa ni kituko kingine

    Hii Tanzania yetu sidhani kama kutakuja kutoea Rais mshenzi na mwehu kama mama yenu huyu
  5. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania David Misime: Wameondoka kwenye ajenda ya maandamano sasa wanahamasisha kuchoma shule, kukata watu vichwa na kupora Askari silaha

    Wewe haupo kwenye mitandao ya kijamii tofauti na JF sio, emu ingia fb na tiktok uone kinachofanyika kule
  6. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania David Misime: Wameondoka kwenye ajenda ya maandamano sasa wanahamasisha kuchoma shule, kukata watu vichwa na kupora Askari silaha

    Sema nini twende mbele turudi nchi hii imeoza lakini pia swala la wananchi kutaka kufanya uharibifu kwenye miundombinu hii sio nzuri asee na hapa ndo mnahalalisha vyombo vishughulike na waandamanaji kweli kweli Amka zako shika kibango chako ungana na wanao andamana sasa ukisema sijui uchome huo...
  7. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Hii kauli hatari sana. Chalamila, kesho utawajibika kwa kauli hii. Kumbuka wewe ni M/kiti wa Kamati ya ulinzi na usalama ya Mkoa. Kauli yako ni AMRI

    Kilichofanyika 29 Oct hakitawahi fanyika tena as long as waandamanaji wasifanye ule ujinga wa kuchoma Mali za watu
  8. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Tunaomba jumatano iwe mapumziko, kusherehekea mwaka mpya wa Hijri

    Tangu lini umesikia wanadai hizo mambo mnazotaka nyinyi kudai Hii nchi haina dini tambueni hilo
  9. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Tunaomba jumatano iwe mapumziko, kusherehekea mwaka mpya wa Hijri

    Hii nchi sio ya Kiislamu tambueni hilo acheni ujinga
  10. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Kwanini TEC wako kimya dhidi ya vurugu?

    Wakemee nini wakati mnaminya wananchi, unataka wawe upande wa wauwaji sio
  11. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Yeah ni sahihi
  12. pamoja Santa

    JamiiForums Tanzania Ni lini JWTZ watatoa majina ya kuitwa kwenye usaili?

    Kama una dilpoma au bachelor subiri mambo ya ndani
Back
Top Bottom