Recent content by pamoja Santa

  1. pamoja Santa

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Na sasa hivi Polisi Wana zaidi ya hiyo mzee
  2. pamoja Santa

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Yani mnawa-overrate (ni kubwa)
  3. pamoja Santa

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Njoo na uthibitisho mzee
  4. pamoja Santa

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Polisi muongezee na posho ya mazingira magumu hapo
  5. pamoja Santa

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Mimi nna jamaa zangu bakabaka ukiwaambia hichi kitu wao wenyewe wanacheka wanasema hizo figure mnetoa wapi?
  6. pamoja Santa

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Unaongea nako lakini na kanasemaje ila usikape tu mimba ndani ya miaka miwili asee
  7. pamoja Santa

    Malezi magumu ya utotoni ndiyo yaliyonijenga kuwa mtu wa kanuni na utaratibu mpaka leo

    Pongezi kubwa ziende kwa mzee wangu, hivi sasa ndo naona matunda yake, just imagine nimebalehe ila mzee anakwambia saa12 jioni uwe ndani . Na alikuwa ana vitu viwili tu kama hauna usingizi soma na kama umechoka kusoma lala kingine mzee wangu alikuwa anapiga viboko mpaka akili inakaa sawa yani...
  8. pamoja Santa

    Balozi Mpoki Ulisubisya: Dudubaya anachosema ni Mapambio na Anapaswa kuwa Mzalendo

    Yani mlitaka mumue Dudubaya kwa kumdanganya kuhusu ugonjwa wake halafu mnataka akae kimya? Hapo Dudubaya na hao wengine Nani mzalendo? maana Dudubaya kaongea ukweli
  9. pamoja Santa

    Bila maamuzi magumu kutoboa kupitia kuajiriwa nitakusikia tu kwenye bomba Ajira za afya michosho tu sifa mtaani tu ila hela hamna

    Maisha au mishahara waliyonayo ni ya kawaida ila sio kusema njaa kali, hapo labda useme wao wamezoea kufanya mambo hayo yani ni kama kautamaduni kwamba ukiwa na kosa lazima akukamue kweli kweli nakupa mfano ukiingia kwenye 18 za TRA wanakukamua au hawakukamui swali Wana njaa wale? au tu hata...
  10. pamoja Santa

    Uganda mambo yameshaanza kuwa moto; Wana wasiwasi ni kwamba Byabakama anaweza kuwa mkata nyaya

    Mkuu hii habari umeigeuza yani huyo Byabakama ni ameegemea upande wa Museveni
  11. pamoja Santa

    Nafuatilia hali ya Iran, sidhani kama Iranian regime inaweza ika-survive kwa saa 48 zijazo kutoka sasa. Polisi wamegoma kupokea orders

    Asee dunia inapitia mabadiliko makubwa sana kiuongozi, sasa hivi wananchi ukiwapeleka unavyojua wewe hutoboi! Hata hapa kwetu ni swala la mda tu
Back
Top Bottom