Kwanini TEC wako kimya dhidi ya vurugu?

Kwanini TEC wako kimya dhidi ya vurugu?

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
534
Reaction score
506
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara.

Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je?

Wao hawana mali,hawana familia,hawana ndugu,hawana koo au hawana uhai?

Ni kwanini hawakemei hayo yakipangwa?

20260610_075757.jpg
20260610_075802-jpg.3604800
 

Attachments

  • 20260610_075802.jpg
    20260610_075802.jpg
    72.3 KB · Views: 15
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara. Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je? Wao hawana mali,hawana familia,hawana ndugu,hawana koo au hawana uhai? Ni kwa nini hawakemei hayo yakipangwa?View attachment 3604799
20260610_075802-jpg.3604800
TEC ndo walimtuma Sumai amtukane Nchimbi? TEC ndo wamemtuma Sada apinge Watanganyika wasitibiwe Zanzibar? usituletee mambo yenu ya Kishetani
 
Kwasasa wote umewaolezesha niseem ya tatizo!!!

Kufikia mwaka 2031 tukiwa hai wale leo sehemu ya tatizo watakuwa sio sehemu ya tatizo na watakemea fujo mbali mbali nk.

Mwafrika hakupaswa kubebeshwa zigo la Dini kichwani mwake ✍️

mana zigo la Ukabila tu lilimtosha kumzuiya kupiga hatua kwenye maendeleo yao..

1)
Rwanda wameuwana kwa Ukabila tu sio Dini

Sudan kusini Ukabila tu. Sio Dini

Tanzania kikwazo chetu Udini kiongozi bora ni yule w Dini yko tu ndicho viongozi wa Dini wanatufundisha¿¿¿¿¿

Ukabila upo lkn sio mkubwa sana lkn Dini tatizo zaidi!!!!!!!!

kwaajiri ya maendeleo ya Taifa zima viongozi wetu wa Dini zetu wanapaswa kukemewa sana👈

na Wananchi wote wenye malengo mapana na Taifa letu.✍️

Misamahaaa ya kodi kwa taasisi za Dini ifutwe kabisa!!

mana lengo kuu ni mwananchi sasa Wananchi hawaoni faida yoyote kwao!!!!

zaidi iyo misamahaa itakuja kutuletea maangamizi ya kizazi bure uko mbele ya safari

misamahaa imekuwa Biashara kubwa ya taasisi za Dini wakiminywa wanaleta migawanyiko kwenye Jamii zetu.!!!!

dawa kuu ni kuifuta misamahaa yote 👈

Serikali ibebe zigo lake la uduma kwa Wananchi wake ✍️
 
Ukiona nzi wanakufuata sana tupa hayo mavi uliobeba, acha kujitetea ewe chawa.
 
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara.

Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je?

Wao hawana mali,hawana familia,hawana ndugu,hawana koo au hawana uhai?

Ni kwanini hawakemei hayo yakipangwa?

View attachment 3604799
20260610_075802-jpg.3604800
Wwe mtoto maji, ni nan anapanga kufanya vurugu? Hebu twambie ni vurugu gan inapangwa!! Then Tec sio akili ndogo wanakaa na kuchakata kwanza kabla ya kutoa tamko. Wale sio wazee wa pilau na ndizi mbivu mfuko wa koti!!
 
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara.

Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je?

Wao hawana mali,hawana familia,hawana ndugu,hawana koo au hawana uhai?

Ni kwanini hawakemei hayo yakipangwa?

View attachment 3604799
20260610_075802-jpg.3604800
FB_IMG_1748360197313.jpg
Screenshot_20260520-120305~2.png
 
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara.

Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je?

Wao hawana mali,hawana familia,hawana ndugu,hawana koo au hawana uhai?

Ni kwanini hawakemei hayo yakipangwa?

View attachment 3604799
20260610_075802-jpg.3604800
huenda hao ni miongoni mwa AZAKI zilizochangia pakubwa kuchochea fujo na kufadhili ghasia na maafa ya mwaka jana. 🐒
 
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara.

Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je?

Wao hawana mali,hawana familia,hawana ndugu,hawana koo au hawana uhai?

Ni kwanini hawakemei hayo yakipangwa?

View attachment 3604799
20260610_075802-jpg.3604800
Kwanini TEC tu? Kwani taasisi zengine kama TEC hazipo? Au ndio mkakati wa kuwaadaa watu kuwa kuna Idiomatic Catholic Supremecy?
 
Shariah wanaomzika mwanamke mwili wote halafu wanabakisha kichwa.
Halafu kichwa wanakipiga mawe.
Unadhani wakimkamata mtu ameiba bandari watamfanya nini?
 
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara.

Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je?

Wao hawana mali,hawana familia,hawana ndugu,hawana koo au hawana uhai?

Ni kwanini hawakemei hayo yakipangwa?

View attachment 3604799
20260610_075802-jpg.3604800
Ile barua iliyoandikwa kwenda kwa papa ilishajibiwa?
Hahaha unategemeq mtu kama mchange atakishauri nn chama Cha ccm?
 
Huwa tunashuhudia mipango ya kutenda uovu au vurugu kwenye nchi ikiandaliwa kupitia hamasa ya wanaharakati uchwara.

Halafu hawa TEC wanakuwa kimya, wala hawawezi kukemea Sasa swali ni je?

Wao hawana mali,hawana familia,hawana ndugu,hawana koo au hawana uhai?

Ni kwanini hawakemei hayo yakipangwa?

View attachment 3604799
20260610_075802-jpg.3604800
Hivi wale masheikh ubwabwa waliishia wapi? Wewe unawaamini nani zaidi Ubwabwa au TEC? Sema ukweli yakhe.
 
Back
Top Bottom