Recent content by PamiKa

  1. PamiKa

    KERO: Mamlaka inayohusika na ujenzi barabara ya Kivule haiko macho

    Habari wakuu Naona mamlaka inayohusika na ujenzi wa barabara hii hauko macho Tangu kandarasi apewe tenda hii kila siku ni kuchimba visivyoeleweka yapata miaka 2 sasa inaisha Kama fedha za ujenzi hakuna ni bora ingeachwa kama ilivyokua mwanzo kuliko kero hii kuu mnayotupa Yule Makonda...
  2. PamiKa

    Askofu Kakobe: Nitaleta ujumbe wa Mungu juu ya taifa

    Hayo ni mengineyo njoo usikie Neno
  3. PamiKa

    Askofu Kakobe: Nitaleta ujumbe wa Mungu juu ya taifa

    Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
  4. PamiKa

    Askofu Kakobe: Nitaleta ujumbe wa Mungu juu ya taifa

    Pamoja na hayo Mungu hazuiliki kusema na watu wake ambao ni watanzania
  5. PamiKa

    Askofu Kakobe: Nitaleta ujumbe wa Mungu juu ya taifa

    Ujumbe wa Mungu kwa ajili ya taifa zima
  6. PamiKa

    Askofu Kakobe: Nitaleta ujumbe wa Mungu juu ya taifa

    Katika ibada iliyofanyika leo ya siku ya mitende makao makuu ya kanisa la Full gospel bibla fellowship,utukufu wa Bwana umeonekana kwa namna ya ajabu sana Katika ibada hiyo amewataka watu wote wa madhehebu yote kwenda kusikiliza maneno ya Mungu kwa kuwa ndicho kipindi ambacho Mungu husema na...
  7. PamiKa

    Kuhusu mshahara wa February 2018

    Wanajukwaa saalaam sana Niende kwenye hoja yangu, Tangu tarehe 22 nasikia mishahara na yale madeni vimetoka kwa baadhi ya watu Naona katika akaunti yangu mambo ni tofauti kabisa kwamba sioni mshahara wala madeni yangu Naomba kuuliza kama ni kweli mishahara na madeni yametoka au ni akaunti yangu...
  8. PamiKa

    Manispaa ya Ilala imejaa rushwa

    Habari wadau Niende moja kwa moja kwenye mada Hii halmashauri watendaji wake ni wabovu sana katika ofisi ya mkurugenzi Nilichokiona pale ni kujuana,undugu na rushwa vimetamalaki Binafsi nimekua na suala linalohitaji kushughulikiwa ndani ya muda mfupi sasa imekua ni kupigwa tarehe kila siku kwa...
  9. PamiKa

    Wakala wa majengo nchini (TBA) yatoa ufafanuzi baada ya kupatikana nyufa katika Hosteli za chuo kukuu cha Dar(UDSM)

    Kama tulipuuza ujenzi ili tuje nunua wapinzani sasa tutayaona mengi
  10. PamiKa

    Yuko wapi mtangazaji maarufu RAINFRID MASAKO yule wa ITV

    Wandugu kuna huyu mtangazaji mahiri wa ITV bwana Alfred Masako sijui kwa sasa yuko wapi Kama kuna mwenye taarifa zako tujaribu kushare kidogo Namkumbuka sana katika kipindi cha matukio ya wiki alivyokuwa mahiri na pia katika radio one stereo alikuwa katika kipindi cha mambo mseto kila...
  11. PamiKa

    Serukamba tunakuhitaji jimboni Kigoma Kaskazini

    Mimi ninachoomba anayefahamu alipo atusaidie kumfikishia ujumbe huu
Back
Top Bottom