PamiKa
Member
- Sep 11, 2016
- 17
- 21
Wanajukwaa saalaam sana
Niende kwenye hoja yangu,
Tangu tarehe 22 nasikia mishahara na yale madeni vimetoka kwa baadhi ya watu
Naona katika akaunti yangu mambo ni tofauti kabisa kwamba sioni mshahara wala madeni yangu
Naomba kuuliza kama ni kweli mishahara na madeni yametoka au ni akaunti yangu tuu ina shida
Asanteni sana wandugu
Niende kwenye hoja yangu,
Tangu tarehe 22 nasikia mishahara na yale madeni vimetoka kwa baadhi ya watu
Naona katika akaunti yangu mambo ni tofauti kabisa kwamba sioni mshahara wala madeni yangu
Naomba kuuliza kama ni kweli mishahara na madeni yametoka au ni akaunti yangu tuu ina shida
Asanteni sana wandugu