PamiKa
Member
- Sep 11, 2016
- 17
- 21
Wandugu kuna huyu mtangazaji mahiri wa ITV bwana Alfred Masako sijui kwa sasa yuko wapi
Kama kuna mwenye taarifa zako tujaribu kushare kidogo
Namkumbuka sana katika kipindi cha matukio ya wiki alivyokuwa mahiri na pia katika radio one stereo alikuwa katika kipindi cha mambo mseto kila Jumapili
Mwenye taarifa zake tushare
Kama kuna mwenye taarifa zako tujaribu kushare kidogo
Namkumbuka sana katika kipindi cha matukio ya wiki alivyokuwa mahiri na pia katika radio one stereo alikuwa katika kipindi cha mambo mseto kila Jumapili
Mwenye taarifa zake tushare