Rwanda ya ya kawaida sana, sema Kongo haina jeshi imara tu.Mbona kipindi kile 2013 M23 walinyooshwa na JW, wapewe Mandate ya kushambulia chap M23 watarudi nyuma.
Mtoa post nakukumbusha Rwanda hakuna Demokrasia kama nchi zingine, jiulize mwisho wa kagame utakuwaje? Angeweka msingi wa demokrasia hapo ningekubali lakini mwisho wake hautakuwa
mzuri kwa maadui alionao.
Msisahau huyo daktari kasota miaka sita kusoma, wakati mwalimu ni miaka miwili au mitatu.Hivyo kila mtu ale kulingana na urefu wa kamba yake.Pia walio nje ya mfumo wa ajira wanataka hata hicho kidogo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.