Recent content by Pakupaku

  1. P

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Jana tulishinda vizuri sana, Yule kijana wa KiKorea alinifurahisha sana baada ya kuweka bichwa wavuni, yaani ukitaka kuwabagua vijana hawa ili umsifu mmoja kuliko mwengine, hilo naona kama haliwezekani kwa Man U. Vijana wote wanasakata kabumbu maridadi sana, Owen alinifurahisha sana baada ya...
  2. P

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ili uwe na furaha inapasa tupendelee Man U..
  3. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Samahanini kwa kuingia huku Emerate stadium, Nimekuja kutoa mkono wa pole tu! Mzalendohalisi upo!
  4. P

    Fa Cup - Belongs to Portsmouth

    Wenger achanganyikiwa! afundishwa kandanda na mwenyewe Sir Alex.
  5. P

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Magoli yote yawe thalathini, lakini ilikuwa bahati kwa upande wa Arsenal kufungwa manne! Mzalendohalisi nakusalimu! Troure tumemuona karudi! tulimsubiri kwa hamu, yaani leo tunawafundisha kandanda!
  6. P

    Wadau Wa Wrestling Mpo?

    Senator huu mchezo wa wrestling, huwa wanapigana kwa mtindo wa kutoumizana, na wanapoumizana na kutoka damu ni mmoja katika accident za mchezo huo ambao, inategemea kama mchezaji huyo kama anaweza kuendelea. Na hawa wachezaji huwa wanalipwa hela nyingi sana kutokana na vipaji vyao vya stamina na...
  7. P

    Man Utd blame defeat on fatigue

    United wil b the Champion laa-tapappar wala takhaf!
  8. P

    African Cup of Nations 2008

    Tukitulia kama wamisri, tutapiga bao Cameroon.
  9. P

    African Cup of Nations 2008

    Hizi ni kasumba za kibaguzi, baada ya kushindwa kujua tatizo liko wapi, hawa ndugu zetu wa kiafrika(Egyptian) kiwango chao cha mpira kiukweli kiko juu kabisa. Lakini usishangae fainali unaweza ukafurahi kuwakuta Cameroun kushinda kutokana na uzoefu wao Japokuwa statistic ya kiwango cha mpira ya...
  10. P

    Eto'o, Drogba, Essien

    Mamaparoko! ujue kuwa Babaparoko tayari yuko ktk JF kwa hivyo taratibu kama unataka kusifia bora uweke rohoni mwako! usije ukachwa ukasema hatujakuambia! Anyway Inaonekana kama Essien.
  11. P

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na hawa Arsenal wakishinda nao wanazogo!
  12. P

    African Cup of Nations 2008

    Yaani wewe unaipenda hio Arsenali jitimu la kizungu kuliko timu la Kiaafrica Ivory Coast. anyway Man U, tunaweza tukairespond hiyo mechi ya Arsenal mpaka wachezaji wote wa Arsenal warudi ili kusiwe na Excuse tukishakuwapiga mabao, lakini taabu yenyewe Arsenal mkifungwa huwa mwasema "kufungwa...
  13. P

    African Cup of Nations 2008

    Hii itakuwa ndoto ya mchana au kama sio hivyo basi Bukassa utakuwa na asili ya kimakonde. Angola ikichukuwa Africa cup na South Korea itachukuwa World Cup.
  14. P

    Fa Cup - Belongs to Portsmouth

    Liverpool wamejitahidi kwa kuonyesha mpira maridadi juu ya ushindi wake kuichapa timu maridadi Havant and W. Na hawa Newcastle nao! mimi nadhani wanahitaji mganga kutoka Tanganyika ili timu yao iweze kushinda.
  15. P

    African Cup of Nations 2008

    Zambia bye bye.. .Egypt,Cameroon and Ivory Cost hapa katika timu tatu hizi ndipo tutakapopata bingwa wa Afrika kwa utabiri wangu!
Back
Top Bottom