Recent content by Pakupaku

  1. P

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Jana tulishinda vizuri sana, Yule kijana wa KiKorea alinifurahisha sana baada ya kuweka bichwa wavuni, yaani ukitaka kuwabagua vijana hawa ili umsifu mmoja kuliko mwengine, hilo naona kama haliwezekani kwa Man U. Vijana wote wanasakata kabumbu maridadi sana, Owen alinifurahisha sana baada ya...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Ili uwe na furaha inapasa tupendelee Man U..
  3. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Samahanini kwa kuingia huku Emerate stadium, Nimekuja kutoa mkono wa pole tu! Mzalendohalisi upo!
  4. P

    JamiiForums Tanzania Fa Cup - Belongs to Portsmouth

    Wenger achanganyikiwa! afundishwa kandanda na mwenyewe Sir Alex.
  5. P

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Magoli yote yawe thalathini, lakini ilikuwa bahati kwa upande wa Arsenal kufungwa manne! Mzalendohalisi nakusalimu! Troure tumemuona karudi! tulimsubiri kwa hamu, yaani leo tunawafundisha kandanda!
  6. P

    JamiiForums Tanzania Wadau Wa Wrestling Mpo?

    Senator huu mchezo wa wrestling, huwa wanapigana kwa mtindo wa kutoumizana, na wanapoumizana na kutoka damu ni mmoja katika accident za mchezo huo ambao, inategemea kama mchezaji huyo kama anaweza kuendelea. Na hawa wachezaji huwa wanalipwa hela nyingi sana kutokana na vipaji vyao vya stamina na...
  7. P

    JamiiForums Tanzania Man Utd blame defeat on fatigue

    United wil b the Champion laa-tapappar wala takhaf!
  8. P

    JamiiForums Tanzania African Cup of Nations 2008

    Tukitulia kama wamisri, tutapiga bao Cameroon.
  9. P

    JamiiForums Tanzania African Cup of Nations 2008

    Hizi ni kasumba za kibaguzi, baada ya kushindwa kujua tatizo liko wapi, hawa ndugu zetu wa kiafrika(Egyptian) kiwango chao cha mpira kiukweli kiko juu kabisa. Lakini usishangae fainali unaweza ukafurahi kuwakuta Cameroun kushinda kutokana na uzoefu wao Japokuwa statistic ya kiwango cha mpira ya...
  10. P

    JamiiForums Tanzania Eto'o, Drogba, Essien

    Mamaparoko! ujue kuwa Babaparoko tayari yuko ktk JF kwa hivyo taratibu kama unataka kusifia bora uweke rohoni mwako! usije ukachwa ukasema hatujakuambia! Anyway Inaonekana kama Essien.
  11. P

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na hawa Arsenal wakishinda nao wanazogo!
  12. P

    JamiiForums Tanzania African Cup of Nations 2008

    Yaani wewe unaipenda hio Arsenali jitimu la kizungu kuliko timu la Kiaafrica Ivory Coast. anyway Man U, tunaweza tukairespond hiyo mechi ya Arsenal mpaka wachezaji wote wa Arsenal warudi ili kusiwe na Excuse tukishakuwapiga mabao, lakini taabu yenyewe Arsenal mkifungwa huwa mwasema "kufungwa...
  13. P

    JamiiForums Tanzania African Cup of Nations 2008

    Hii itakuwa ndoto ya mchana au kama sio hivyo basi Bukassa utakuwa na asili ya kimakonde. Angola ikichukuwa Africa cup na South Korea itachukuwa World Cup.
  14. P

    JamiiForums Tanzania Fa Cup - Belongs to Portsmouth

    Liverpool wamejitahidi kwa kuonyesha mpira maridadi juu ya ushindi wake kuichapa timu maridadi Havant and W. Na hawa Newcastle nao! mimi nadhani wanahitaji mganga kutoka Tanganyika ili timu yao iweze kushinda.
  15. P

    JamiiForums Tanzania African Cup of Nations 2008

    Zambia bye bye.. .Egypt,Cameroon and Ivory Cost hapa katika timu tatu hizi ndipo tutakapopata bingwa wa Afrika kwa utabiri wangu!
Back
Top Bottom