Nadhani unamaanisha roberto carlos. huyu jamaa wakiwa wanacheza nadhani kombe la dunia Brazil vs ujerumani ilipatikana faulo nje ya kumi na nane golikipa akiwa oliver kahn.
Wakati akina rivaldo wamejipanga na mabeki wa ujerumani akawa anawaonyesha ishara ya kusogea kwa mkono sasa akina...
Siku alipowateua na kumpa ripoti ya kwanza Kuna kauli aliwapa kuwa "huku ndo kujiajiri mwenyewe" baada ya kumwambia kuwa katiba mpya Haina haja kwa Sasa labda baada ya uchaguzi unao.
Hawa Marais kutoka pwani hawafai mwinyi aliuza ngorongoro kwa waarabu wakahaha wawahamishe wamasai wakashindwa pa kuwapeleka mda wake ukaisha kabla ndugu zake wa kiarabu hawajawaamisha wamasai.
Mkapa akakuta ule mkataba uliouza nchi nani ya nchi hauvunjiki akawaacha wamasai waendelee kukaa...
Lisu katekenya kidogo kwa kwenda kuwasalimia wamasai wanadai katukana, kwani kuwasalimia wamasai ni tusi?
Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.