Tumain Makene; Hii ina maanisha nini?. Wafiwa kujadiliana na Polisi sehemu ya kuagia na Polisi kutoa ulinzi inamaanisha ombi la washitaka au mawakili kutaka Polisi kutojihusisha na msiba wa Marhemu Mawazo limegonga mwamba!.
Wapendwa wanasheria,
Je bado ni halali Mhe. Hamad Rashid kundelea kuwa Bungeni. Mwanzoni pamoja na CUF kutomtambua ilikuwa sawa kwa kufuatia amri ya Mahakama ambayo hakuwa na uwezo wa kufikia mwisho wa shauri hili hata kama Bunge lingekuwa linaendeleaa kwa miaka 10 zaidi.
Hata hivyo baada ya...
Akina Sheikh Ponda wako ndani kwa Uchochezi!. Ni uchocheze gani kafanya Mchungaji Gwajima, au kumwambia Askofu pengo hakuwa sahihi kwenda kinyume na wenzake. Na kama ni hilo, tayari Mhe. Askofu Pengo kaisha samehe.
Mhe. Hoja zako ni nzuri na zenye mantiki. Hakuna shaka Baba Askofu atajirudi na kutoa maelekezo kama wenzake Maaskofu chini ya uongozi wa Maraisi wake wa Baraza la Maaskofu katoliki walivyoelekeza. Siku zote Mwadhama ni mtiifu kama kanisa linavyoagiza.
Bahati mbaya haukumsikiliza vizuri Mwadhama Polycarp Pengo. Mhe Kardinali alikili ya kuwa maneno yaliyomo katika walaka wa Maaskofu ni wa kinabii na umeandaliwa kinabii. Pia anakiri na kutamuka ya kuwa "Yeye ni nani kuyakatae yaliyomo". Hapa anafahamu kwamba yeye si kitu mbele ya watumishi na...
Mi nafikiri njia sahihi tugawane nchi. Tanzania Visiwani (Zanzibar) iwe nchi ya Waislamu na Tanzania Bara (Tanganyika) nchi ya Wakristo. Waislamu wote walioko bara waamie Zanzibar na Wakristo wa Zanzibar waamie Tanganyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.