Hao wanao takiwa kuishauri serekali wanakalisha matako tu huko bungeni halafu wanasema vijana wajiajiri wao wameweka matumbo mbele hawajui shuruba watu wanazokutana nazo ukiwa na kamtaji kako kila mtu anakitolea macha mara tra mara manispaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.